Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
Zuzu kaenda kumsalimia mamaake mdogo kajifungua. Alipofika
kamwuliza, "Mamdogo mtoto huyu umempata wapi?" Mamaake mdogo
kamjibu, "Nimemnunua hospitali mwanangu." Zuzu kauliza tena, "Hiyo hospitali ya Kichina?" Mamdogo wake kashangaa, "Kwa nini
Zuzu?" Zuzu kajibu, "Mbona wamekuuzia mtoto hana meno?"
kamwuliza, "Mamdogo mtoto huyu umempata wapi?" Mamaake mdogo
kamjibu, "Nimemnunua hospitali mwanangu." Zuzu kauliza tena, "Hiyo hospitali ya Kichina?" Mamdogo wake kashangaa, "Kwa nini
Zuzu?" Zuzu kajibu, "Mbona wamekuuzia mtoto hana meno?"