Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Kwanza hakikisha unatafta mwenza (well for men only)
1. Mpite miaka zaid ya 10
2. Elimu yake kibongo bongo awe La saba or form4 or six
3. Awe hana kazi inayoeleweka yaan wewe ndio mtaftie mchongo hapo mjini or else asiwe na kazi yoyote ile
4. Hakikisha anakusikiliza wewe kwa lolote yaani wewe ndio director wa maisha yake
Lastly, provide her with everythng yaani muhudumie kwa asilimia zote. Mwanamke wa hivyo akitaka gari mpe, akitaka gold mpe. Yaani chochote, aktaka macho ma3 mpe.
Aisee! utaishi maisha ya amani sana duniani yaani wanawake wa hivi huamini kuwa wanapendwa na waume zao, hata akufumanie atajua tu huyu kateleza. Halafu mzalishe kuanzia watoto wa4.
Dah! Ndugu yangu utaishi kama malaika
Ila hawa wengne ambao mnamaliza chuo kwanza gpa kakupita..mdada katoka familia baba kamlea kushindana na wanaume well ni sawa kwa wellbeing yao wanawake kwamba ndio hivyo karne mpya lazima waende sawa nini na nini
Ila ndugu yangu mashindano kwenye mahusiano yatakua meng sana.labda huyo dada akupende sana. Well kama hutoweza ushauri huu basi wekeza kwenye mwanamke ambaye atakupenda sanaa
Sasa hao wanaopenda sana, sasa wengi chura hawana hahah. Wazuri wazuri sababu wanatongozwa sana basi huwa na viburi na huwa hawapend kiviiile. Atakupenda ila hatokuonyesha, akuonyeshe wewe nanii, haha. Wakati anatongozwa kwa siku mara 8
1. Mpite miaka zaid ya 10
2. Elimu yake kibongo bongo awe La saba or form4 or six
3. Awe hana kazi inayoeleweka yaan wewe ndio mtaftie mchongo hapo mjini or else asiwe na kazi yoyote ile
4. Hakikisha anakusikiliza wewe kwa lolote yaani wewe ndio director wa maisha yake
Lastly, provide her with everythng yaani muhudumie kwa asilimia zote. Mwanamke wa hivyo akitaka gari mpe, akitaka gold mpe. Yaani chochote, aktaka macho ma3 mpe.
Aisee! utaishi maisha ya amani sana duniani yaani wanawake wa hivi huamini kuwa wanapendwa na waume zao, hata akufumanie atajua tu huyu kateleza. Halafu mzalishe kuanzia watoto wa4.
Dah! Ndugu yangu utaishi kama malaika
Ila hawa wengne ambao mnamaliza chuo kwanza gpa kakupita..mdada katoka familia baba kamlea kushindana na wanaume well ni sawa kwa wellbeing yao wanawake kwamba ndio hivyo karne mpya lazima waende sawa nini na nini
Ila ndugu yangu mashindano kwenye mahusiano yatakua meng sana.labda huyo dada akupende sana. Well kama hutoweza ushauri huu basi wekeza kwenye mwanamke ambaye atakupenda sanaa
Sasa hao wanaopenda sana, sasa wengi chura hawana hahah. Wazuri wazuri sababu wanatongozwa sana basi huwa na viburi na huwa hawapend kiviiile. Atakupenda ila hatokuonyesha, akuonyeshe wewe nanii, haha. Wakati anatongozwa kwa siku mara 8