Ukitaka mke wa kuoa, basi oa Mkurya

Ukitaka mke wa kuoa, basi oa Mkurya

junior252

Senior Member
Joined
May 3, 2015
Posts
141
Reaction score
96
Mabinti wa kikurya ni wavumilivu sana, tena zaidi ya kabila lolote ndio sababu hata waume zao wawakatakata na panga hawaachiki. Pili wanajua ndoa ni nini? Akishakuzalia mtoto hata umfanye nini hawezi kukuacha.Tatu ingawa hawajui sana mapenzi ila wanajua kumpenda na kumjali mme.

Karibu Tarime
 
wanawake wa kikurya sio wagomvi ila hawapendi kudharauliwa hasa na wanaume wa kabila tofauti
 
nina demu wangu wa kikurya,in short nimemchoka,ila ananipenda,yani haachiki,ana huruma, hapendi kuniona nafuria,ila tatizo lake ni mvivu na anadanganyika sana na mambo madogo,yani akiwa na shida hata ukimpa ushauri wowote anaufanyia kazi,ukimsaidia unaweza kumpata......ila mambo yakibuma ndo anakuja kuomba ushauri.....nimfanyaje
 
nina demu wangu wa kikurya,in short nimemchoka,ila ananipenda,yani haachiki,ana huruma, hapendi kuniona nafuria,ila tatizo lake ni mvivu na anadanganyika sana na mambo madogo,yani akiwa na shida hata ukimpa ushauri wowote anaufanyia kazi,ukimsaidia unaweza kumpata......ila mambo yakibuma ndo anakuja kuomba ushauri.....nimfanyaje

Kwa hiyo siku ukifulia na akikusaidia unajua kabisa kuwa oven yako imetumika na mwingine...
anahuruma sana huyo mpaka inakera
 
Ukipata aliyekeketwa huwa mtam balaaa hamjui tu!! Fanya mjaribu muone
 
Back
Top Bottom