Ukitaka mke wa kuoa, basi oa Mkurya

Ukitaka mke wa kuoa, basi oa Mkurya

Raha ya mapenzi uchezee kisimbusi aka king'amuzi. sasa hao dada zako hawana maana hao wasipoenda jandoni hawajioni kama ni wanawake kweli. Nilimpata mmoja kwakweli nilipopeleka mkono kwenye kisimbusi nilimhurumia sana maana kuna bonge la kovu halafu we acha tu. Nyamwezi is the correct tribe
 
Mimi natakanije nikuchumbie nikupeleke Musoma tena sote tunatoka familia zakifugaji nitamtuma mzazi wangu ebu kwanza nipe ramani akija aanzie kwa Mzee nani?

mmmmh habari ya kupigwa kama ngombe nani anataka
 
wana heshima na upendo wa dhati kwa waume zao na pia ni waaminifu sana kwenye ndoa
 
Mada yako ina ukweli mtupu.wakurya wapo sawa sana katika ndoa,ni wavumilivu sana,wakweli hata ubabe hawana .kifupi wanawake wakurya ni mfano was kuigwa hapa tz
 
Back
Top Bottom