Acha uvivu funga safari wafuate mwenyewe huko ofisini ili angalau upate majibu 88%Wakuu poleni na majukumu.
Niende kwenye mada,nahitaji kufahamu kama ukitaka kutop up mkopo katika benki ya NBC ni baada ya muda gani na viambatanisho gani wanahitaji?
Asanten!
Nilishakopa nataka kujazia mkuu.Hiv Ku-top up unajua maaan yake? Ulishakopa unajazia au unaanza upya ? km ulikopa ulipiti process zipi km hukuwahi kukopa hapo nenda Tawini Ukaulize
Nb : Ukipata Mkopo usisahau kujipooza kidogo na moja moto moja barrdiiii UJUGU HAPA
Nilishakopa nataka kujazia mkuu.
Nadhan unachotaka kunambia ni kua utaratibu nilioupitia wakati nakopa mara ya kwanza ndo huohuo utatumika nikitop up?