Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,603
Pumba zingine hizi, wewe una matatizo fulani fulani.Asa kaka watanzania tupo karibu mil 55 afu uanakuja kunipigia kelele kwa mtu mwwnye subscribers mil 2 UPO SAWA UPSTAIRS?...hiyo ni kama kuwa wa kwanza kwenue kundi la wasio na akili me nkajua ur going to talk of atleast 10 M subs.
Diamond ndio mTanzania mwenye followers wengi Twitter, Instagram ni mwana Afrika mashariki na kati anayeongoza kwa followers wengi.
Facebook page yake ina zaidi ya 1.5 million people.
Ndiye msanii pekee Africa mwenye subscribers million 2 Africa.
Anamiliki WCB yenye subscribers wakutosha tu.
Wana Tv channel na Radio ambayo ni lazima tu utaitazama kivyovyote.
Hivi una akili wewe? Utawakwepaue WCB kwa mfano?