Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Asa kaka watanzania tupo karibu mil 55 afu uanakuja kunipigia kelele kwa mtu mwwnye subscribers mil 2 UPO SAWA UPSTAIRS?...hiyo ni kama kuwa wa kwanza kwenue kundi la wasio na akili me nkajua ur going to talk of atleast 10 M subs.
Pumba zingine hizi, wewe una matatizo fulani fulani.

Diamond ndio mTanzania mwenye followers wengi Twitter, Instagram ni mwana Afrika mashariki na kati anayeongoza kwa followers wengi.

Facebook page yake ina zaidi ya 1.5 million people.
Ndiye msanii pekee Africa mwenye subscribers million 2 Africa.
Anamiliki WCB yenye subscribers wakutosha tu.

Wana Tv channel na Radio ambayo ni lazima tu utaitazama kivyovyote.
Hivi una akili wewe? Utawakwepaue WCB kwa mfano?
 
B12 ndio nani?
Aliekua tishio kwa uhai wa WCB alikua ni Rugemalira,hatatokea binadamu mwingine walau kwa miaka kumi ijayo,labda WCB wajiangushe wenyewe
 
Hii ndio habari iliyopo ,msanii yeyote ukitaka kutenge na media zingine na wasanii wengine jiweke karibu na record label ya WCB.
Dully Sykes amethibitisha Jana wakati anahojiwa na bongo5.,kuwa anachukiwa na wasanii wenzake kisa kuwa karibu na WCB.

Pia Niko karibu na baadhi ya wasanii wanakuambia live bifu ni kubwa chuki ni kubwa xana.
Mfano mzuri juzi hapa kiba aliulizwa kuhusu kukutana jukwaa1 na harmonize lakini cha kushangaza alikimbia camera., jambo la ajabu km ye anashida na diamond ,hamo anahusika VP.

Mapambano makali yakiongozwa na mtu1 anaitwa b12 yanaandiwa kuangalia namna ya kuidondosha WCB kwa vyovyote vile.
Mkakati1 wapo ni kupiga marufuku wasanii wakubwa wasishirikiane nao,pia kuhakisha makampuni hayafanyi udhamini kwa WCB.

Zamani shilole alikuwa close na WCB kapigwa mkwara amejiweka mbali kwa sasa.

Lakini kitu kinachokwamisha ni ili entertainment iende huwezi kuwakwepa WCB,mda ule wa kufanyana km watoto uungu MTU haupo tena.
Ndio maana WCB wana endorsement kubwa kwenye radio na wasanii wao.
Nawashauri wasanii waache chuki haisaidii hata kidogo.
Wasafi wana matatizo tu,kwa nini giant media kama clouds,tve/efm na eatv hawampi ushirikiano?,vyombo vyote hivi wanamuonea wivu?,abadilike aache maringo ya kike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom