Ukitaka kutengwa na wasanii jiweke karibu na WCB

Wabongo huwa tunapenda sana kulalamika hata sehemu ambayo tatizo lipo kwetu!

Zamani mlikuwa mnambebesha mzigo Ruge tukasema humu ndani baada ya Ruge kufariki basi Mambo ya hao wasanii yatakuwa vizuri ila maajabu zaidi mmeanza tena kumbebesha zigo lenu B12
 
Hahahhaha kwa hiyo hawatakiwi kuwa na nyumba kutokana boss wao wananyumba akili za wapi hizo hahahab itabidi baba'ko aollewe naye kwanza ndipo nifuate
Wewe tayari ushaole/][/wa na Mondi, unataka uolewe mara ngapi? na mama yako alikuwa mche/////pu//////ko wa Mondi ndiyo maana unalalamika kwanini mum//////eo Mondi ananyumba halafu wengine hawana? au Rayvan ameshaku//oa tayari maana si kwa povu hilo.
Unachuki na hasira kama shoger. Utasubiri sana
 
Wewe tayari ushaole/][/wa na Mondi, unataka uolewe mara ngapi? na mama yako alikuwa mche/////pu//////ko wa Mondi ndiyo maana unalalamika kwanini mum//////eo Mondi ananyumba halafu wengine hawana? au Rayvan ameshaku//oa tayari maana si kwa povu hilo.
Unachuki na hasira kama shoger. Utasubiri sana
Nashukuru baba'ko ni mke wa kwanza na me nimeacha bab'ko anaendelea nafikiri anafikiri atapata mtoto kama wew tena
 
Ruge kafariki lakini legacy yake bado inaishi pale mawingu, usiangalie kufa kwa mutu angalia kaacha misingi gani, panua ubongo wako usikurupuke tu.
Wabongo huwa tunapenda sana kulalamika hata sehemu ambayo tatizo lipo kwetu!

Zamani mlikuwa mnambebesha mzigo Ruge tukasema humu ndani baada ya Ruge kufariki basi Mambo ya hao wasanii yatakuwa vizuri ila maajabu zaidi mmeanza tena kumbebesha zigo lenu B12
 
Nachanganyikiwa nashindwa kuelewa, wakati wa Hayati boss Ruge palikuwepo problem wasanii na yeye,now Ruge is gone,imehamia WCB na wasanii!!!!!
Story ni tofauti lakini ukiunganisha dots, ni kitu kile kile?!

Wasanii walikuwa wanadai tatizo ni Ruge dhidi ya Wasanii lakini hivi sasa tatizo ni Wasanii dhidi ya WCB! Hicho ni kinyume! Lakini tuki-assume kwamba habari ni kweli, basi ni kitu kile kile! Kwamba, WCB walikuwa wanadai Clouds (soma Ruge) alikuwa hataki WCB i-shine!! Kipindi pekee ambacho wasanii (pamoja na wa WCB) wanakiwaza pale Clouds ni XXL! Brand Manager wa XXL ni B12! Kwa maana nyingine, B12 anachukua mikoba ya Bosi wake Ruge kuendeleza bifu na wasanii! Lakini kwavile B12 hana mbavu za kupambana na WCB, ndipo anaamua kutumia wasanii wanaodhani bila Clouds, hawawezi kufanya kitu!!
 
Ruge Alikua ni boss wa clouds na Lawama zilikua zikimuangukia yeye. Yale yalikua maamuzi ya clouds hata baada ya kufa Ruge Diamond na Jide bado nyimbo zao hazipigwi clouds.
So tatizo halikua Ruge kama mtu Bali Ruge kama boss wa clouds. Na tatizo limebaki vilevile Labada mpaka uongozi wa clouds uamue kurekebisha mambo
 
Ruge Alikua ni boss wa clouds na Lawama zilikua zikimuangukia yeye. Yale yalikua maamuzi ya clouds hata baada ya kufa Ruge Diamond na Jide bado nyimbo zao hazipigwi clouds.
So tatizo halikua Ruge kama mtu Bali Ruge kama boss wa clouds. Na tatizo limebaki vilevile Labada mpaka uongozi wa clouds uamue kurekebisha mambo
Wafanyakazi wote wamerithishwa chuki.
 
umeandika vyema ila sijaona sababu za ni kwa nn msanii akiwa karibu na wcb basi ni jipu kwa wenzake
 
Huyo twangala ni mfanyakazi wa kusaga pia kusaga ni bos pale usafini...... Hizo hujuma znakujaje au ndo sikio linataka kuzidi kichwa????
 
Ruge Alikua ni boss wa clouds na Lawama zilikua zikimuangukia yeye. Yale yalikua maamuzi ya clouds hata baada ya kufa Ruge Diamond na Jide bado nyimbo zao hazipigwi clouds.
So tatizo halikua Ruge kama mtu Bali Ruge kama boss wa clouds. Na tatizo limebaki vilevile Labada mpaka uongozi wa clouds uamue kurekebisha mambo
Point
 
Aliyetengeneza chuki fitina na wivu kwa wasanii unamjuaaaaaaaa???
Alafu wanataka mziki wetu uwe sawa na Nigeria,wakati wao wenyewe wasanii hawapendani na wamekubali kugombanishwa na washika dau.Wasanii wa Nigeria wanapendana na kubebana sana,wasanii wakubwa wanafanya collabo na wasanii wachanga na ndio maana Nigeria kila mwaka lazima kuna msanii mmoja ataenda kwenye Level za kimataifa.

Wakati si tukihangaika kumshusha Mondi wenzenu Nigeria wanahangaika kuwatengeneza akina WizKid wapya kama akina Kiss Daniel,Burnboy,Patoranking,Falz,Tekno nk na wamefanikiwa.

Mwisho wa siku kwenye matamasha makubwa wanajazana wao wa Nigeria,sisi tukibaki na Diamond tu sana sana labda na mwaka huu wameongezeka Rayvanny,Harmonize na Nandy,lkn mziki wa bongo umejaa chuki,fitina na wivu usiokuwa na msingi ambao haujengi tasnia ya mziki,mwisho wa siku anayejua kitu fulani anabaki kujua yy tu na mwenye connection anabaki nazo yeye mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom