Ukitaka kushangaa nenda Buza Tandika

Kwani halalbadri ni nini? nijuavyo mimi ni kuwa mtu afanyiwapo mambo ambayo humuudhi munga na mja huyo kwa kutambua uduni wake na utukufu wa mungu huamua kumshatakia yeye bwana wa viumbe wote [vengence is mine so said the lord] ili mungu amhukumie.
na madam ameiona mali iliyoiibiwa ninadhani hukumu imepita yeye anapaswa achukuwe kilichobakia kama atatengeneza au atauza ni juu yake.
Kama mwenye mali kweli yupo na haendi kuichukuwa basi kuna walakini aidha naye aliiba, alidhulumu au pengine alikwenda kwa mganga wa kienyeji na kufanya mambo yanayomchukiza mungu basi lana yake hata yeye mwenyewe anaogopa kuichukua
 
Pia kuna wale ng'ombe 4 pale Mtongani njia panda ya kwenda Bahari Beach,
Yasemekana mwenyewe akipita huwa anamwaga machoz,ila ndo hvo,hawezi kuwachukua,washasomewa Al Badri.
 
Discuss kwa mapana na marefu superstition an intergrating force in social cohesion. 10 marks.
 
Natamani ningeona kwenye kuran iwe inataja msamaha kwa watenda dhambi, hapo ningeupenda sana uislamu

ki kubwa ktk uislam kama umetenda kosa ni ww Kukiri kosa lako, then msamaha unafuata.
Tafakari kabla ya kutenda kosa uislam ni njia sahihi ya maisha yako na ime cover kila kitu ktk maisha yetu ya kila siku.
 
Hakuna kitu kama hicho,mi nielekezen vzur nkajichukulie kausafiri hako
 
hivi wale mbuzi waliokuwa wanashinda drive in kabla ubalozi kujenga nawaona kinondoni nao hawana mmiliki?
 
Hakuna cha Al badri wala nini ni imani hiyo.

Ile ni sala ambayo mtu anaomba kwa dhati katika kuombea jambo fulani baya limpate mtu.

Hata mimi Mkrsito Mkatoliki ninayejua BIBLE nikiamua kusoma Biblia naweza kukudhuru wewe. Na ushahidi ninao nilishakitumia kitabu hiki nikashindana nanguvu za Quran.

Katika BIBLE kuna kitabu cha ZABURI kunamaombi ya kila namna upendavyo ukiyaomba kwa kutumia zile sala na kwa dhati, Hakika majibu yatakuja. Nilishafanya hivyo mwisho jamaa akaamua kuniita mimi mchawi kumbe nimemmaliza nikafanikiwa na yeye akashindwa.

Ndugu zangu Wakristo tusibabaike na Al badri hicho ni kitabu na hiyo ni sala ambayo hata sisi tunaiweza tuwe na imani katika kumuomba Mungu wetu wakweli. Wao waache waombe mabaali kama enzi za nabii Eliya.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 

kwa vyovyote vile huo ni uadilifu wa hali ya juu ambao unapaswa kufuatwa hasa na viongozi wakuu wa nchi . Ikiwa hivyo hata kati na chini wataogopa na wataiga wakubwa wao. Viongozi wetu wanapaswa kufahamu kuwa hesho siku ya hesabu watahukumiwa mbele ya bwana wa viumbe wote kwani dhamana waliyobeba ni kubwa na kwa bahati mbaya ni kuwa wakati wanapoingia ofisini wanaapa kwa kutumia vitabu vyake na hivyo vitabu ndiyo vitawashitaki
 


thank you
 
[QU="figganigga, post: 4889908, member: 28550"]unakua umeshavuka pale kwa mama kibonge? mimi nashinda zangu pale gaddaf lakini bado sijaona hiyo kitu. mia[/QUOTE]
Ni gossip hizo, pale temeke veterinary kuna pikipiki iliwahi andikwa kwenye magazeti ya udaku kuwa mtu akiisogelea inajiwasha , nilienda pale nikaiona na nikauliza kwanini iko pale na haiondolewi: ukweli ni kuwa ile pkpk ni mali ya umoja wa madereva wa boda wanaopaki pale, waliamua kiweka pale cos kila aliyekuwa anapewa alikuwa hapeleki hesabu , hivyo wakaamua waiweke pale ili kila memba aione.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…