Buza kuna pikipiki Toyo ya matairi matatu imepaki pembeni ya barabara yapata mwaka sasa baada ya kuuliza kulikoni nikaambiwa hiyo Toyo imeshauwa watu sita. Wezi waliiba na waliohusika na hiyo Toyo walianza kufa mmoja baada ya mwingine walipofika sita ndugu zao waamua kuileta hapo barabarani wakaitelekeza.
Wakati barabara inajengwa aliletwa shehe aruhusu iwekwe pembeni baada ya kujenga ikarudishwa palepale mpaka hivi leo, tuliendelea kushangaa.
Tuliendelea kumuuliza jamaa mmoja akadai mwenye hiyo Toyo yake hawezi kwenda kuichukua kwa sababu ilishasomewa kitabu yaani Arbadili na kama akienda kuichukua na yeye anakufa, hii imekaaje?
Nikifanikiwa kupita tena huko nitawawekea picha hapa.
Yanatokea hayo.Njooni Zanzibar maeneo ya mchina mwanzo, kuna ngombe zaidi ya 20. hawana mwenyewe wanazurura tu mpaka manispaa imewashindwa.kila mwaka wanaongezeka. inasemekana kuna ngombe kama watatu waliibiwa miaka mingi kidogo nyuma. mwenyewe akawasomea Albadiri.walioiba wakapukutika, tokea miaka hiyo ngombe hawana mwenyewe wanazurura na kuzaliana tu mitaani.kila mtu anawaogopa.mbaya zaidi mwenye mali alishatangulia mbele ya haki.kwa wale wasiomini Quraan Tukufu waje wachukue mali za bure.au wakachukue hiyo Toyo.
Yanatokea hayo.Njooni Zanzibar maeneo ya mchina mwanzo, kuna ngombe zaidi ya 20. hawana mwenyewe wanazurura tu mpaka manispaa imewashindwa.kila mwaka wanaongezeka. inasemekana kuna ngombe kama watatu waliibiwa miaka mingi kidogo nyuma. mwenyewe akawasomea Albadiri.walioiba wakapukutika, tokea miaka hiyo ngombe hawana mwenyewe wanazurura na kuzaliana tu mitaani.kila mtu anawaogopa.mbaya zaidi mwenye mali alishatangulia mbele ya haki.kwa wale wasiomini Quraan Tukufu waje wachukue mali za bure.au wakachukue hiyo Toyo.
Natamani ningeona kwenye kuran iwe inataja msamaha kwa watenda dhambi, hapo ningeupenda sana uislamu[/QUOT
kwani uliisha tafuta ukakosa kuona......? msamaha upo bali una vipengere vyake ili upate kusamehewa. na anayesamehe ni mmoja baada ya kutimiza mashari ya toba.
Naomba uelewe kwanza Qur-an haina uhusiano na albadir, wala katika qur-an hakuna kitu kinaitwa albadir,na wala katika mafundisho ya uislam hakuna al badir sehem yeyote inapofundishwa,
Kwanza hakuna ukweli kama al-badir ina madhara yeyote ila tunachoamini huwa kweli,kwa sababu huyo anaekusomea albadir anasoma kitabu cha majina ya watu ambao walipigana katika vita ya Badri ndio maana kinaitwa al badir.ndani yake hakuna dua yeyote zaidi ya majina ya watu,ila kwa sababu tulishaamini toka enzi tunaumia kwa imani kuliko ukweli wenyewe
Ngongoseke, umefunguka na umetupa fundisho binafsi nilikuwa sijui nini maana ya Albadir, usipoamini haiwezi kufanya kazi.Naomba uelewe kwanza Qur-an haina uhusiano na albadir, wala katika qur-an hakuna kitu kinaitwa albadir,na wala katika mafundisho ya uislam hakuna al badir sehem yeyote inapofundishwa,
Kwanza hakuna ukweli kama al-badir ina madhara yeyote ila tunachoamini huwa kweli,kwa sababu huyo anaekusomea albadir anasoma kitabu cha majina ya watu ambao walipigana katika vita ya Badri ndio maana kinaitwa al badir.ndani yake hakuna dua yeyote zaidi ya majina ya watu,ila kwa sababu tulishaamini toka enzi tunaumia kwa imani kuliko ukweli wenyewe
Duh! hiyo kali kwani aliesoma hilo arbadili ni nani? kama ni mwenye toyo si alitakiwa akachukue mali yake!!!
Naomba uelewe kwanza Qur-an haina uhusiano na albadir, wala katika qur-an hakuna kitu kinaitwa albadir,na wala katika mafundisho ya uislam hakuna al badir sehem yeyote inapofundishwa,
Kwanza hakuna ukweli kama al-badir ina madhara yeyote ila tunachoamini huwa kweli,kwa sababu huyo anaekusomea albadir anasoma kitabu cha majina ya watu ambao walipigana katika vita ya Badri ndio maana kinaitwa al badir.ndani yake hakuna dua yeyote zaidi ya majina ya watu,ila kwa sababu tulishaamini toka enzi tunaumia kwa imani kuliko ukweli wenyewe
Naomba uelewe kwanza Qur-an haina uhusiano na albadir, wala katika qur-an hakuna kitu kinaitwa albadir,na wala katika mafundisho ya uislam hakuna al badir sehem yeyote inapofundishwa,
Kwanza hakuna ukweli kama al-badir ina madhara yeyote ila tunachoamini huwa kweli,kwa sababu huyo anaekusomea albadir anasoma kitabu cha majina ya watu ambao walipigana katika vita ya Badri ndio maana kinaitwa al badir.ndani yake hakuna dua yeyote zaidi ya majina ya watu,ila kwa sababu tulishaamini toka enzi tunaumia kwa imani kuliko ukweli wenyewe
Yanatokea hayo.Njooni Zanzibar maeneo ya mchina mwanzo, kuna ngombe zaidi ya 20. hawana mwenyewe wanazurura tu mpaka manispaa imewashindwa.kila mwaka wanaongezeka. inasemekana kuna ngombe kama watatu waliibiwa miaka mingi kidogo nyuma. mwenyewe akawasomea Albadiri.walioiba wakapukutika, tokea miaka hiyo ngombe hawana mwenyewe wanazurura na kuzaliana tu mitaani.kila mtu anawaogopa.mbaya zaidi mwenye mali alishatangulia mbele ya haki.kwa wale wasiomini Quraan Tukufu waje wachukue mali za bure.au wakachukue hiyo Toyo.
Yanatokea hayo.Njooni Zanzibar maeneo ya mchina mwanzo, kuna ngombe zaidi ya 20. hawana mwenyewe wanazurura tu mpaka manispaa imewashindwa.kila mwaka wanaongezeka. inasemekana kuna ngombe kama watatu waliibiwa miaka mingi kidogo nyuma. mwenyewe akawasomea Albadiri.walioiba wakapukutika, tokea miaka hiyo ngombe hawana mwenyewe wanazurura na kuzaliana tu mitaani.kila mtu anawaogopa.mbaya zaidi mwenye mali alishatangulia mbele ya haki.kwa wale wasiomini Quraan Tukufu waje wachukue mali za bure.au wakachukue hiyo Toyo.
Buza kuna pikipiki Toyo ya matairi matatu imepaki pembeni ya barabara yapata mwaka sasa baada ya kuuliza kulikoni nikaambiwa hiyo Toyo imeshauwa watu sita. Wezi waliiba na waliohusika na hiyo Toyo walianza kufa mmoja baada ya mwingine walipofika sita ndugu zao waamua kuileta hapo barabarani wakaitelekeza.
Wakati barabara inajengwa aliletwa shehe aruhusu iwekwe pembeni baada ya kujenga ikarudishwa palepale mpaka hivi leo, tuliendelea kushangaa.
Tuliendelea kumuuliza jamaa mmoja akadai mwenye hiyo Toyo yake hawezi kwenda kuichukua kwa sababu ilishasomewa kitabu yaani Al badir na kama akienda kuichukua na yeye anakufa, hii imekaaje?
Nikifanikiwa kupita tena huko nitawawekea picha hapa.