mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
- Thread starter
-
- #41
Nenda Kwa mchungaji mwambie unatafuta mume.Mchungaji atamsubiria kijana yeyote mwenye Nia ya kuoa.Mtaingia kwenye maombi ikiwemo mchungaji kama ni mpango wa Mungu utaolewa naye mtaishi Kwa raha.
Mshirikishe Mungu Sana.
Ndoa Haina umri Mamy...Hiyo Logic yako nafikirii sio kwa wachungaji wote wataelewa
Kwa umri wangu watanishangaa niseme natafuta mume
Pia sitaki Kijana yoyote nataka yule mwenye vigezo vyangu sio wa kutafutiwa nataka wa kunitafuta mimi sio mimi nimtafute yeye
Waende na mchumba wake kwa mchungaji ambaye ana macho ya Rohoni, ombe alafu ataoneshwa kuwa ni wake au sio wake ajue moja...
Kuna vingine utagundua taratibuuu! take time umjue vizuri !
Hapana mkuu kuna baadhi ya vitu ni hatari sana its better ukavifahau mapema!!Ili ndoa yako ifike mbali achana na hicho unachotaka kukijua,si umempenda? Sukiliza anachokwambia Acha kujitia mwana historia,mapenzi hayana historia wala background.
Anaweza akawa alikua mchungaji mtakatifu kumbe Ushetani akaja ku uanzia kwako.
Anaweza akawa alikua mpotofu asie na future player wa hisia za wanawake kumbe Kutulia akaja anzia Kwako.
Achana na unachotaka kufanya, Kama Una mashaka Nae Muache, Hujampenda.
Ili ndoa yako ifike mbali achana na hicho unachotaka kukijua,si umempenda? Sukiliza anachokwambia Acha kujitia mwana historia,mapenzi hayana historia wala background.
Anaweza akawa alikua mchungaji mtakatifu kumbe Ushetani akaja ku uanzia kwako.
Anaweza akawa alikua mpotofu asie na future player wa hisia za wanawake kumbe Kutulia akaja anzia Kwako.
Achana na unachotaka kufanya, Kama Una mashaka Nae Muache, Hujampenda.
Ili ndoa yako ifike mbali achana na hicho unachotaka kukijua,si umempenda? Sukiliza anachokwambia Acha kujitia mwana historia,mapenzi hayana historia wala background.
Anaweza akawa alikua mchungaji mtakatifu kumbe Ushetani akaja ku uanzia kwako.
Anaweza akawa alikua mpotofu asie na future player wa hisia za wanawake kumbe Kutulia akaja anzia Kwako.
Achana na unachotaka kufanya, Kama Una mashaka Nae Muache, Hujampenda.
Uchunguze vile vya msingi tu hayo mengine achana nayo!
Mapenzi ni imani kama zilivyo imani zingine, mapenzi ni kuchukua risk kama ilivyokatika mambo mengine.
Kikubwa ukimsimamisha yeye kama yeye bila kumuambatanisha na mtu yeyote anatimiza walau 65 ya vigezo vyako? Kwenye checklist yako umefanikiwa kutick vibox vingapi? Ukim-rate over 10 unaonaje?
Familia na koo za watu ni madude makubwa ambayo ukianza kuchunguza hutaoa wala kuolewa, atleast kuna ile immediate family, wanaochunguza ukoo ndio ambao mimi siwaelewi.
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Ndoa Haina umri Mamy...
Wakati wa Mungu ndo sahihi
Hapana mkuu kuna baadhi ya vitu ni hatari sana its better ukavifahau mapema!!
Unasali wapi huko kwenye masharti kama ya wagangaHiyo njia ime failure nikimpeleke swali la kwanza Nitaulizwa ameokokaa
Achaa tu! Kuna familia nyingine ni Hatari sana! Hili ni gumu sana kujua pale mwanzo kama mtu hajakwbia mwenyewe!Mfano kama ushirikina
Sasa hapo nawaza nitachunguzA nitaanzaje kujua hilo
1. yeye ana abcd zako?Why mama?
Je nikiuluzwa kuhusu kumfahamu na familia yake si unajua lazima wazazi wawe sure mara nyingi lazima atauliza ukoo wake naufahamu ni watu wa namna gani na Mimi sina ABCD
Kama hio ya ushirikina!!Mfano vitu gani
Umemaliza kila kitu Mkuu.Mimi naona endeleeni mlipokutania. Msioane kwanza peaneni muda wa kujuana vizuri. Mwaka tu utajua unayopaswa kujua.
Maswali ya msingi muulize mfano kama ana watoto akikujibu kwa kukudanganya baadae itakuwa ngumu kwake.
Muulize pia kama alishawahi kuoa akaachana na mke wake. Kama ndio muulize kama waliachana kisheria?
Ila kikubwa mkapime yale magonjwa muhimu.
Hapana babu kuna vitu ni lazima uvijue mapema!Umemaliza kila kitu Mkuu.