Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Kutamani sio vibaya.
Nyie Waswahili unataka akatike mguu ili asikupite. Ama ikiwezekana afe kabisa
Surez alishika mpira ili waafrika tusichukue kombe, je ile sio roho ya kichawi ni roho ya kimalaika?