Nimegundua asilimia kubwa ya waafrika kama sio Waswahili ni wachawi kwa asili.
Tatizo kubwa wanalokumbana nalo ni ukosefu wa zana zá kufanyia kazi ili kutimiza adhima yao.
Ukitaka kujua kuwa wewe pia ni mchawi uliekubuhu : Hivi hapa chini ni viashiria :
í. Unapata faraja ukiona mwenzio kupata majanga.
ii. Roho inakuuma ukisikia mafanikio ya mwenzako.
iii. Habari njema kwako ni mtoto wa jirani yako kufukuzwa shule. Habari mbaya ni mtoto kufaulu.
vi. Habari mbaya kwako ni mtoto wa mwenzio kuolewa, faraja yako ni pale ameachika ama hapati mtoto.
v. Habari njema kwako ni mfanyakazi mwenzio/bosi wako kutumbuliwa.
vi. Habari mbaya kwako ni jirani kununua gari, habari njema ni gari lake lipige mzinga.
vii. Habari njema kwako ni MV Nyerere kuzama na kuuwa watu.
Ongezea nawewe zá kwako kujipima.
Tatizo kubwa wanalokumbana nalo ni ukosefu wa zana zá kufanyia kazi ili kutimiza adhima yao.
Ukitaka kujua kuwa wewe pia ni mchawi uliekubuhu : Hivi hapa chini ni viashiria :
í. Unapata faraja ukiona mwenzio kupata majanga.
ii. Roho inakuuma ukisikia mafanikio ya mwenzako.
iii. Habari njema kwako ni mtoto wa jirani yako kufukuzwa shule. Habari mbaya ni mtoto kufaulu.
vi. Habari mbaya kwako ni mtoto wa mwenzio kuolewa, faraja yako ni pale ameachika ama hapati mtoto.
v. Habari njema kwako ni mfanyakazi mwenzio/bosi wako kutumbuliwa.
vi. Habari mbaya kwako ni jirani kununua gari, habari njema ni gari lake lipige mzinga.
vii. Habari njema kwako ni MV Nyerere kuzama na kuuwa watu.
Ongezea nawewe zá kwako kujipima.