Tatizo la watanzania ni kuwa mashabiki wa vyama kama walivyo kwa timu za mpira
Tanzania itabadilika siku wananchi watakapoacha ushabiki wa vyama na kuanza kuwawajibisha wanasiasa kwa kura
CCM wakishindwa unawanyima kura
Chadema wakishindwa unawanyima pia
Historia inaonyesha CCM imeshindwa Arumeru Mashariki, wanastahili hukumu ya wananchi kesho
Hao polisi wakikubali kutumika kuvuruga demokrasia ni wa hovyo maana hata wao wana maisha ya mashaka yasiyo na future halali
Polisi wa Tanzania wanashida moja, (sijui ndivyowalivyofundishwa?) kufanya jambo lolote watakaloambiwa na BOSS wao. Wao huwa hawana muda wa kufikili.
Tekeleza amri kwanza ....
Hivyo usishangae kesho wanavua magwanda na kwenda kupiga kura ...