ukitaka kujua CCM wanambinu chafu,soma,hii

Tatizo la watanzania ni kuwa mashabiki wa vyama kama walivyo kwa timu za mpira
Tanzania itabadilika siku wananchi watakapoacha ushabiki wa vyama na kuanza kuwawajibisha wanasiasa kwa kura
CCM wakishindwa unawanyima kura
Chadema wakishindwa unawanyima pia
Historia inaonyesha CCM imeshindwa Arumeru Mashariki, wanastahili hukumu ya wananchi kesho
Hao polisi wakikubali kutumika kuvuruga demokrasia ni wa hovyo maana hata wao wana maisha ya mashaka yasiyo na future halali

Polisi wa Tanzania wanashida moja, (sijui ndivyowalivyofundishwa?) kufanya jambo lolote watakaloambiwa na BOSS wao. Wao huwa hawana muda wa kufikili.
Tekeleza amri kwanza ....
Hivyo usishangae kesho wanavua magwanda na kwenda kupiga kura ...
 
Sijaona shida kubwa,ila lazima CHADEMA tuwe makini kulinda kura na kuhimizana kwenda kupiga kura.
1.Wametangaza kufunga kampeni siku moja kabla yaani wamefunga Ijumaa badala ya Jmosi
2.Wamekuwa na vikao vya siri na maafisa usalama na tume kwa siri,moja ya kikao ni kile kilicho kaliwa Snow Crest Ngulero
3.Mkutano wao wa leo King'ori ulikuwa wa siri lakini baadae ilivuja kwani jana walisha tangaza kufunga kampeni.
4.Wamemwaga polisi zaidi ya elfu 2 na wamejenga mahema pale USA River kana kwamba kuna vita vile...
 
CCM hawana mbinu.Hicho wakifanyacho ,ambacho wao wanakiita "mbinu" kwangu mimi si mbinu.Ninavyofahamu,mbinu za kweli zinaanzia katika hatua za awali kabisa:kupata mgombea kwa kutumia njia za wazi,huru na zenye usawa,ikifuatiwa na kuweka mpango makini wa kampeni, kutafuta kura kwa kufanya mikutano mingi ikilenga kufafanua sera,mipango na mikakati mbalimbali kulingana na matatizo ya sekta mahususi na hivyo kuvutia uungwaji mkono wa wananchi, kupigiwa kura za hiari na wananchi na hatimaye kulinda kura.
Mathalani,kamanda Nassari ameweza kufanya jumla ya mikutano 109.Hakuna kiijiji hata kimoja ambacho hakukifikia na baadhi ya maeneo ameenda hadi katika vitongoji. Sumari, huenda kwa "ushauri" wa walopokaji wake, ameenda vijiji 40! Sasa ,kama yeye hakuwafikia wapiga kura wa kutosha hana sababu ya kutafuta mtu wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe na wana - mikakati wake . Asitafute huruma ya Tume ya Uchaguzi wala polisi ikiwa wananchi hawakuweza kuwekwa katika mazingira ya kushawishika kumhurumia katika siku 21 za kampeni.
Katika uchaguzi wa leo Arumeru, imenuiwa kuwa ushindi hautapatikana mezani. Haiwezekani watu wazunguke vijiji vyote vya jimbo,wakijenga hoja makini,wakati mwingine wakose muda wa kupata chakula na kupumzika, halafu bado yupo mtu, kwa uchovu wa tafakuri anaota ushindi kwa kufanya miadi na viongozi wa Tume ya Uchaguzi! Haiwezekani.Ifahamike wazi kuwa,ushindi hautatolewa na Jaji Lubuva wala Mkurugenzi wa Halmashauri ya Arumeru.Badala yake,ushindi utaamuliwa na kutolewa na wapiga kura wa Arumeru Mashariki.
 
Mkuu usiwe biased, polisi wanalinda amani, na kwa ushindani wa kibabe ulioonyeshwa na vyama hivi tutarajie lolote litatokea. Slaa amesema PATACHIMBIKA sasa ndugu bora kuwa tayari kabla hapajachimbika.
BIG UP polisi ila mtende haki.



polisi wa tanzania hawana weledi.
 
mkuu nakushauri tumia tu busara, usitumie hasira, nenda taratibu na hawa magamba si unamuona lusinde ni kichaa??!!
afu bora usiwasikilize (esp. Huyo lusinde) ni kama kuangalia movie afu unaenda kupigana...plz msichinjane ndugu zetu ushindi kama upo upo...mradi wasichakachue

CCM isichakachue?
 
1.Wametangaza kufunga kampeni siku moja kabla yaani wamefunga Ijumaa badala ya Jmosi
2.Wamekuwa na vikao vya siri na maafisa usalama na tume kwa siri,moja ya kikao ni kile kilicho kaliwa Snow Crest Ngulero
3.Mkutano wao wa leo King'ori ulikuwa wa siri lakini baadae ilivuja kwani jana walisha tangaza kufunga kampeni.
4.Wamemwaga polisi zaidi ya elfu 2 na wamejenga mahema pale USA River kana kwamba kuna vita vile...

Ni mimi sijakuelewa au?

Mbinu chafu ndio ipi hapo?
 
ni mimi sijakuelewa au?

Mbinu chafu ndio ipi hapo?

na hutawaelewa mkuu! Wanachokiweza hawa ni makelele tu! Malalamiko yasio na msingi, kura hazijapigwa unaanza kulalamikia police, hivi inawezekana kweli kufanyika uchaguzi bila ya kuwepo ulinzi wa kutosha? Kama unakubalika kwanini unalalamika? Wataka uhurumiwe?
 
Empty vessels, makes great noises and roling stone gother no moss...we shall see, politics a dirt game, neither chichiem nor chademama.
 
....acha ujinga wewe, polisi kibao chdm sasa hv...wache walinde usalama kuna watu wana vichaa vya mbwa.
 
CCM juu....... CDM ziiiiiiiiiiiiiii na acheni mchecheto hamna sera mkiwa nazo za uwongo
 
Lazima kinuke..mm niko tayari..ili kupandisha hasira nasikiliza yale maneno ya lusinde. Lazima nichinje mtu!

unaumiza kichwa bure chadema imeshinda arumeru. Nunua kabia na kambuzi bana kona furahia. Kwa wasioamini nitarudi hapa baada ya matokeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom