johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Yule mzee Dr Shein na mkewe kwa kweli ni Viongozi wa mfano hasa kwetu Watanganyika tusiojua maana ya kustaafu
Yaani fikiria huku Tanganyika Waziri mkuu mstaafu anaenda Kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Mashariki Chadema 😂
Siasa za Bongo Pasua Kichwa!
Yaani fikiria huku Tanganyika Waziri mkuu mstaafu anaenda Kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Mashariki Chadema 😂
Siasa za Bongo Pasua Kichwa!