Kwa sababu gani?
kwa sababu ukimchukua ndugu yako wa karibu ikitokea kaharibu jambo, utashindwa kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu mjomba wako, utakachofanya ni kuingia hasara upya, kubomoa jengo au kutafuta fundi mwingine aweze kurekebisha makosa, wakati huo umekwisha pata hasara, lakini hatua za kisheria kama kumpeleka makamani hautaweza kwa sababu mjomba wako, alikadhalika na rafiki yako wa karibu, ukimchukua fundi lafiki yako wa karibu,ikitokea kaharibu jambo, hautaweza kumchukulia hatua za kisheria kwa sababu rafiki yako wa karibu umetoka naye mbali 'CHINI YA MUTI' watoto wake wanakwita baba, hautaweza kumshitaki, HAYO YAMETOKEA SANA, NA YANAENDELEA KUTOKEA. HUU MWAKA WA UCHAGUZI ANGARIENI SANA NYINYI MNAGOMBEA UONGOZI, MNAWEZA MKAPATA UONGOZI MSIJE MKARUDIA MAKOSA. NAYASEMA HAYA KWA SABABU SISI NI WAZURI SANA WA KUNYOOSHA KIDOLE, MIMI NIMEONA KWENYE MPILA 'NINGEKUWA MIMI NINGE FUNGA GOLI' HATA KWENYE DRAFT YAPO