Ukisomea Computer Science ni rahisi kupata ajira?

Naby Keita

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
10,716
15,275
Samahani nilitaka kujua kwa hapa bongo hv ukisomea computer science ni rahisi kutoka(kupata ajira) au ndo vile bado tupo nyuma na kama zipo ni zipi?
 
Kwa sasa computer science waitimu ni wengi.Kama una weza kaza msuli chukua electronics/telecom au computer Engineering
 
Samahani nilitaka kujua kwa hapa bongo hv ukisomea computer science ni rahisi kutoka(kupata ajira) au ndo vile bado tupo nyuma na kama zipo ni zipi?

Unapozungumzia sasa kumbuka kama ukianza mwaka huu kusoma hadi umalize hali ya sasa haitakuwa na influence kwa mwaka utakaomaliza chuo.

Ushauri wangu, soma kitu kilicho moyoni maana swala la kutoka factors ziko nyingi sana, just enjoy life usiwaze saana mambo yatakaa sawa as time goes..

Jibu: Kwa kulinganisha fani sio rahisi kupata ajira kama ualimu, udaktari na jeshi lakini inalipa kama utatoka(utapata ajira)
 
Kazi za Computer Science


1. Database Administrator


2. System Analyst/ IT Business Analyst


3. Programmer


4. Webmaster


5. IT Specialist


6. Lecturer


7. Network System Analyst

etc
 
Swala la urahisi kutoka inategemea na wewe mwenyewe tu... I don't think kwamba ukisoma Bongo huwezi toka ila tu tofauti iliyopo ni mazingira ya usomaji.. Ila ukiwa dedicated unatoka tu ndugu yangu.. Nothing impossible...

Ofcourse kuna changamoto za hapa na pale kwa mazingira ya Bongo.. Nchi za nje for instance unakuta kuna exposure kubwa ya mambo ya Computer science.. Ila as long as kuna mtandao sa iv, itakusaidia sana kufahamu mambo mengi..

So, we komaa hata Bongo utatoka tu, ila kama ukipata chance pia kwenda nje ya nchi ni nzuri pia..
 
Kazi za Computer Science


1. Database Administrator


2. System Analyst/ IT Business Analyst


3. Programmer


4. Webmaster


5. IT Specialist


6. Lecturer


7. Network System Analyst

etc

Kazi ya electronics/Telecom ni nini? kwa wenzetu Kenya wanavyo vyuo vizuri? Vya kozi hizo?
 
Kazi ya electronics/Telecom ni nini? kwa wenzetu Kenya wanavyo vyuo vizuri? Vya kozi hizo?
Syllabus za Electronics/Tele, Comp Sc/IT zinafana kwa % kadhaa tofauti ni nani anabobea wapi. Kazi zao nyingi ni katika kampuni za mawasiliano japo zipo ambazo hao wote wanne wanaweza fanya. Kuhusu vyuo labda waliopo Kenya watusaidie mi naamini hata vyetu vipo sawa
 
Ukisoma computer science........unakuja kuwa mtu anaitwa programmer...........na kiukweli na ma programmer wa bongo au tanzania hawana inshu na kwani watu wengi hununua software kutoka nje na kazi hizi hufanywa na wazungu.........computer engineering haina soko kwani utaishia kuformat computer mitaani.......kwani maofisni computer zikihalibika wananunua mpya............ukisoma telecom ajira ni ngumu kwani makampuni ya simu ni machache na baada ya mkongo wa taifa kumalizika hawatakua tena soko kwenye ajira.........ni heri ukasomeee u pilot chuo cha civil aviation cha airport.......hapo utatoka
 
Back
Top Bottom