johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Mimefanikiwa kuisoma ripoti yote ya CAG aliyoitoa hivi karibuni na kumkabidhi mh Rais.
Ripoti nimeielewa.
Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.
Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"
Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ripoti nimeielewa.
Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.
Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"
Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!