Ukisoma vizuri ripoti ya CAG hutatamani kubakia CCM sema tu hakuna chama mbadala kinachoongozwa na Mtakatifu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,959
Mimefanikiwa kuisoma ripoti yote ya CAG aliyoitoa hivi karibuni na kumkabidhi mh Rais.

Ripoti nimeielewa.

Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.

Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"

Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
Baada ya utafiti wa muda mrefu kwenye siasa za Tanzania; sasa kwa kujiamini sana naweza kusema CCM haijawahi kuwa tatizo na Tanzania hatuna tatizo la chama cha siasa bali watu.

Tuna kundi kubwa sana la watu wa ovyo ambao wametawanyika karibu kila mahali kwenye jamii. Katika mazingira kama hayo, kama chama cha siasa kitaundwa na watu kutoka kwenye jamii hii hii, hakuna namna ambayo tutakwepa kuona miujiza.

Narudia tena, tatizo sio CCM tatizo ni jamii.
 
Baada ya utafiti wa muda mrefu kwenye siasa za Tanzania; sasa kwa kujiamini sana naweza kusema CCM haijawahi kuwa tatizo na Tanzania hatuna tatizo la chama cha siasa bali watu.

Tuna kundi kubwa sana la watu wa ovyo ambao wametawanyika karibu kila mahali kwenye jamii. Katika mazingira kama hayo, kama chama cha siasa kitaundwa na watu kutoka kwenye jamii hii hii, hakuna namna ambayo tutakwepa kuona miujiza.

Narudia tena, tatizo sio CCM tatizo ni jamii.
Huu utafiti wako utakuwa na "chongo" iliyo na mahaba ya ccm.

Unataka ccm isibebe lawama kwa kuwatupia lawama Wananchi walio ipa ridhaa ccm kwa zaidi ya miaka 60 na ikashindwa kutumia rasilimali nyingi za nchi kupiga hatua kubwa ya maendeleo. Kweli wewe ni wale wa utafiti wa TWAWEZA.

Nikukumbushe tu kuwa chama kilicho madarakani ndicho kilicho na nafasi ya kuibadilisha jamii husika mara baada ya kupewa ridhaa kwa kuandaa sera nzuri za sekta mbalimbali ikiwemo elimu ambayo Ndiyo nyenzo mhimu ya kuibadili jamii kifkra na kimtazamo.

Je chama gani kilichokuwa kikanuni sera mbovu za elimu mbovu isiyoweza kumsaidia mwanajamii kupambana na mazingira yake? Je umesahau yule mkuu wa mkoa mwenye PhD alivyolia na kugalagala chini alipotumbuliwa.

Mbaya zaidi jamii hii unayotaka kuirushia furushi la taka za ccm mmeibatiza jina la wanyonge kwa maksudi maana viongozi wa ccm hawatumii huduma za kijamii za jamii hii.

Jiulize mtoto wa diwani, mbunge na waziri wanasoma katika shule za jamii hii? Kama jibu ni hapana unapata wapi ujasiri wa kuilaumu jamii ambayo inapata elimu isiyokidhi viwango vya tafakuli?

Au wewe ni miongoni mwa wenye malengo ya kuendelea kuwapumbaza Wananchi kwa kuwapa elimu ya kibaguzi (watoto wa viongozi na wanyonge?
 
Mimefanikiwa kuisoma ripoti yote ya CAG aliyoitoa hivi karibuni na kumkabidhi mh Rais.

Ripoti nimeielewa.

Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.

Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"

Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jo unajua wewe ni mpumbavu mno na umejaa mawazo mgando?
 
Mimefanikiwa kuisoma ripoti yote ya CAG aliyoitoa hivi karibuni na kumkabidhi mh Rais.

Ripoti nimeielewa.

Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.

Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"

Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Viongozi wa nchi hii wangekuwa na hofu ya Mungu Samia angeongoza wenzake kuachia madaraka.
 
Baada ya utafiti wa muda mrefu kwenye siasa za Tanzania; sasa kwa kujiamini sana naweza kusema CCM haijawahi kuwa tatizo na Tanzania hatuna tatizo la chama cha siasa bali watu.

Tuna kundi kubwa sana la watu wa ovyo ambao wametawanyika karibu kila mahali kwenye jamii. Katika mazingira kama hayo, kama chama cha siasa kitaundwa na watu kutoka kwenye jamii hii hii, hakuna namna ambayo tutakwepa kuona miujiza.

Narudia tena, tatizo sio CCM tatizo ni jamii.
Huu ndio ukweli iwe Katiba mpya sijui Bora upigaji utakuwa pale pale maana wanapiga kelele ni hawana fursa ya kupiga..

Kote ambako Mtanzania kaajiriwa ni mwizi.
 
Huu utafiti wako utakuwa na "chongo" iliyo na mahaba ya ccm.

Unataka ccm isibebe lawama kwa kuwatupia lawama Wananchi walio ipa ridhaa ccm kwa zaidi ya miaka 60 na ikashindwa kutumia rasilimali nyingi za nchi kupiga hatua kubwa ya maendeleo. Kweli wewe ni wale wa utafiti wa TWAWEZA.

Nikukumbushe tu kuwa chama kilicho madarakani ndicho kilicho na nafasi ya kuibadilisha jamii husika mara baada ya kupewa ridhaa kwa kuandaa sera nzuri za sekta mbalimbali ikiwemo elimu ambayo Ndiyo nyenzo mhimu ya kuibadili jamii kifkra na kimtazamo.

Je chama gani kilichokuwa kikanuni sera mbovu za elimu mbovu isiyoweza kumsaidia mwanajamii kupambana na mazingira yake? Je umesahau yule mkuu wa mkoa mwenye PhD alivyolia na kugalagala chini alipotumbuliwa.

Mbaya zaidi jamii hii unayotaka kuirushia furushi la taka za ccm mmeibatiza jina la wanyonge kwa maksudi maana viongozi wa ccm hawatumii huduma za kijamii za jamii hii.

Jiulize mtoto wa diwani, mbunge na waziri wanasoma katika shule za jamii hii? Kama jibu ni hapana unapata wapi ujasiri wa kuilaumu jamii ambayo inapata elimu isiyokidhi viwango vya tafakuli?

Au wewe ni miongoni mwa wenye malengo ya kuendelea kuwapumbaza Wananchi kwa kuwapa elimu ya kibaguzi (watoto wa viongozi na wanyonge?
Nitajie sera angalau moja tu (iliyoandikwa ) ya ccm ambayo ni mbaya. Au ni wapi ccm kama taasisi imesema sera yake ni kuunga mkono ufisadi kwa mfano? Shida inakuja kwenye practice na practice inaathiriwa na tabia ya actors.

Ukitaka kuelewa kwa urahisi zaidi; anzisha biashara halafu kabidhi wabongo wakuendeshee halafu baada ya miezi miwili leta mrejesho. Pengine zaidi ya 90℅ ya bongo lenders ni watu hopeless kabisa, wazinguaji, wapigaji katika level mbalimbali, wazembe na.k so hao ndio watu watu. Tukitaka changes tuwekeze sana kwenye kuibadili jamii kwa kuanzia kwetu wenyewe kama mtu mmoja mmoja, kisha familia, kisha watu wako wa karibu na.k
 
Na kwann lawama zinaenda kwa vyama pinzani?? Kwann usiwalaumu hapo kwako ndio wametufikisha hapa? Yaan mnapombiwa chama chakavu msiwe mnarusha ngumi!! Hata aje nan kuongoza ndan ya CCM lazima ipigwe dili.
Mimefanikiwa kuisoma ripoti yote ya CAG aliyoitoa hivi karibuni na kumkabidhi mh Rais.

Ripoti nimeielewa.

Ukiitafakari hii ripoti hutakuwa na hamu ya kuishabikia CCM kwa sababu kama chama dola kimeshindwa kuikata mirija ya ufisadi na rushwa katika mifumo ya serikali.

Tatizo ni kwamba hatuna chama mbadala cha siasa chenye afadhali, vyama vyote ndio " wale wale"

Zamani mambo kama haya wajeda walikuwa wanajitwalia uongozi lakini hizi ni zama za demokrasia.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
Huu ndio ukweli iwe Katiba mpya sijui Bora upigaji utakuwa pale pale maana wanapiga kelele ni hawana fursa ya kupiga..

Kote ambako Mtanzania kaajiriwa ni mwizi.
Wewe m'bongo anakuja kukulilia shida, ukishamkopesha tu, hakulipi halafu anakuwa na kauli chafu hatari halafu na urafiki ndio unafia hapo hapo halafu eti tunailaumu CCM. Hatujui CCM ni idea tu, sio "object" na wana CCM ni watu hawa hawa ambao ni mimi na wewe. So kama mimi na wewe ni watu wa maana CCM itakuwa ya maana na kinyume chake ni sawa.
 
Uwenda wengi wa waliofanya hayo mambo ya ajabu ni wanachama/wafuasi wa vyama vya upinzani
 
Baada ya utafiti wa muda mrefu kwenye siasa za Tanzania; sasa kwa kujiamini sana naweza kusema CCM haijawahi kuwa tatizo na Tanzania hatuna tatizo la chama cha siasa bali watu.

Tuna kundi kubwa sana la watu wa ovyo ambao wametawanyika karibu kila mahali kwenye jamii. Katika mazingira kama hayo, kama chama cha siasa kitaundwa na watu kutoka kwenye jamii hii hii, hakuna namna ambayo tutakwepa kuona miujiza.

Narudia tena, tatizo sio CCM tatizo ni jamii.
Chama tawala ambacho haiwezi kusimamia Serikali yake ni chama cha hovyo kabisa. Usijifanye huelewi.
 
Posho naona zimechelewa akili zirudi mahali yake, kimsingi ofisi ya CAG wenyewe ni wala rushwa wazuri sn hata haya madudu unayoona ni 10% ya ufisadi uliopo serikalini yaani ni aibu tupu
Mkuu una maana unapendekeza posho ziendelee kuchelewa ili wengi akili irudi kwenye default?
 
Vyama vya upinzani viko very disorganized.

Namna wanavyofanya mambo yao ni ngumu sana kufanikiwa kutwaa uongozi wa nchi.
 
Back
Top Bottom