Unaweza ukawa software engineer,software developer,BSS engineer(kwenye makampuni ya simu),system administrator,Instrumentation engineer(hii ipo viwandani),unaweza ukafsnya hata kazi za umeme,engine,mfano kwenye minara,BSS towers za mitandao ya simu,vipo vingi.Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua
Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani
msaada plz![]()
ShukraniUnaweza ukawa software engineer,software developer,BSS engineer(kwenye makampuni ya simu),system administrator,Instrumentation engineer(hii ipo viwandani),unaweza ukafsnya hata kazi za umeme,engine,mfano kwenye minara,BSS towers za mitandao ya simu,vipo vingi.
Kuna jamaa zangu wamesome Sheria,sasa hv wanafanya kazi za kupiga picha,kutengeneza video za shelee,Harusi,ku produce muziki.
Kuna engineer mmoja wa mechanical sasa hv anatengrneza fanicha
ndy mkuu