Ukisoma hapa hutaogopa kifo!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,395
Kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto.

Hakuna hata mmoja ambaye amewahi kufa na kurejea na kutuambia kilichotokea baada ya kifo. Tunahofia kwa sababu hatuna uhakika na kitachotokea baada ya kifo na ndio maana tumebaki kutishwa na maandiko ya dini.


Maandiko mengi ya dini yamejaa vitisho vingi ambavyo ukisoma utaogopa sana kifo, tumetishwa kuhusu kuchomwa moto, kuumwa na majoka, na kuishi kwenye giza milele na mateso mengine ya ajabu ajabu, ikiwa unajihisi una dhambi hofu ndio inazidi kuongezeka maana unajua kuwa hutakuwa salama.

Hivi ni nani kati yetu ana uhakika kuwa akifa ataenda peponi? Naamini hilo ni swali gumu kwa kuwa hakuna hata mmoja kati yetu aliyewahi kujiuliza swali hilo.

Kuna masharti magumu sana yanayosimuliwa katika dini zetu hizi ambayo inabidi yatimizwe ili mtu aweze kufika peponi, na kwa kuwa wengi wetu tunajua kwamba ni vigumu kuyatimiza masharti hayo tumejikuta tukihofia kifo, kwa sababu tunajua kwamba tukifa hatutakuwa salama.

Hivi kama mafundisho ya dini yangesema kuwa huko mbinguni kuna pepo tu, ni nani angehofia kifo?

Watu hawataki kuyaacha maisha hata kama ni mabaya naya kutisha kwa sababu hawana uhakika na maisha yao baada ya kifo, wanajiuliza je huko mbinguni maisha yatakuwaje? Kwa nini mtu afe, halafu akateseke zaidi? Huko hakuna mjadala kama mtu ni wa motoni ni wa motoni tu.

Kama ukimwambia mtu asijali hata kama akifa, kwa sababu kifo kina maana ya kuuacha mwili na sio yeye kupotea, anaweza kukuuliza, "kama nitauacha mwili ina maana gani mimi kuendelea kuwepo? Sitakula, sitafanya mapenzi, sitaendesha gari, sasa ya nini kufa?"
Ni kweli yuko sahihi kwa sababu kipimo chake ni mahitaji ya mwili, kwa kuwa ndiyo anayoyafahamu zaidi.

Kwa bahati mbaya Dini zetu zinawatisha wengi badala ya kuwafundisha kuhusu baada ya kifo.

Ukweli ni kwamba maisha baada ya kifo yapo, lakini hayatakuwa kama haya tunayoishi tukiwa na miili hii inayoonekana. Ni vigumu mtu kuamni kwa sababu tumekuwa tukiishi na miili hii tunayoiona tangu kuzaliwa kwetu na hivyo kukubali nadharia hii ni ngumu kidogo.

Hebu nikuulize wewe unaesoma hapa, Hivi hujasikia watu wakisema "Bora mungu amchukue akapumzike" pale ambapo kuna mgonjwa anayeumwa na ugonjwa unaomtesa na kumpa maumivu makali? Au hujawahi kusikia watu wakisema " Bora kafa akapumzike kwa amani, ameteseka sana"
Hivi kumbe watu wakifa wanapumzika! Ajabu eeh! Sasa huu moto wa milele na majoka, na mateso mengine tunayoambiwa yanatoka wapi? Je huko kupumzika kunakosemwa kunaweza kuwa ni mahali kwenye nafuu zaidi ya mateso anayoyapata huyo mgonjwa kwa wakati huo? Sidhani kama hilo lina ukweli.

Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.


 
kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto.

Hakuna hata mmoja ambaye amewahi kufa na kurejea na kutuambia kilichotokea baada ya kifo. Tunahofia kwa sababu hatuna uhakika na kitachotokea baada ya kifo na ndio maana tumebaki kutishwa na maandiko ya dini.


maandiko mengi ya dini yamejaa vitisho vingi ambavyo ukisoma utaogopa sana kifo, tumetishwa kuhusu kuchomwa moto, kuumwa na majoka, na kuishi kwenye giza milele na mateso mengine ya ajabu ajabu, ikiwa unajihisi una dhambi hofu ndio inazidi kuongezeka maana unajua kuwa hutakuwa salama.

Hivi ni nani kati yetu ana uhakika kuwa akifa ataenda peponi? Naamini hilo ni swali gumu kwa kuwa hakuna hata mmoja kati yetu aliyewahi kujiuliza swali hilo.
Ni mafundisho gani ya dini ya asili .......yanayofundisha vitisho! Kwa kadri ya ufahamu wangu sijawahi kusikia vitisho vya dini ya asili!

Kuna masharti magumu sana yanayosimuliwa katika dini zetu hizi ambayo inabidi yatimizwe ili mtu aweze kufika peponi, na kwa kuwa wengi wetu tunajua kwamba ni vigumu kuyatimiza masharti hayo tumejikuta tukihofia kifo, kwa sababu tunajua kwamba tukifa hatutakuwa salama.

Hivi kama mafundisho ya dini yangesema kuwa huko mbinguni kuna pepo tu, ni nani angehofia kifo?

Watu hawataki kuyaacha maisha hata kama ni mabaya naya kutisha kwa sababu hawana uhakika na maisha yao baada ya kifo, wanajiuliza je huko mbinguni maisha yatakuwaje? Kwa nini mtu afe, halafu akateseke zaidi? Huko hakuna mjadala kama mtu ni wa motoni ni wa motoni tu.

Kama ukimwambia mtu asijali hata kama akifa, kwa sababu kifo kina maana ya kuuacha mwili na sio yeye kupotea, anaweza kukuuliza, “kama nitauacha mwili ina maana gani mimi kuendelea kuwepo? Sitakula, sitafanya mapenzi, sitaendesha gari, sasa ya nini kufa?”
ni kweli yuko sahihi kwa sababu kipimo chake ni mahitaji ya mwili, kwa kuwa ndiyo anayoyafahamu zaidi.

Kwa bahati mbaya dini zetu zinawatisha wengi badala ya kuwafundisha kuhusu baada ya kifo.

Ukweli ni kwamba maisha baada ya kifo yapo, lakini hayatakuwa kama haya tunayoishi tukiwa na miili hii inayoonekana. Ni vigumu mtu kuamni kwa sababu tumekuwa tukiishi na miili hii tunayoiona tangu kuzaliwa kwetu na hivyo kukubali nadharia hii ni ngumu kidogo.

Hebu nikuulize wewe unaesoma hapa, hivi hujasikia watu wakisema “bora mungu amchukue akapumzike” pale ambapo kuna mgonjwa anayeumwa na ugonjwa unaomtesa na kumpa maumivu makali? Au hujawahi kusikia watu wakisema “ bora kafa akapumzike kwa amani, ameteseka sana”
hivi kumbe watu wakifa wanapumzika! Ajabu eeh! Sasa huu moto wa milele na majoka, na mateso mengine tunayoambiwa yanatoka wapi? Je huko kupumzika kunakosemwa kunaweza kuwa ni mahali kwenye nafuu zaidi ya mateso anayoyapata huyo mgonjwa kwa wakati huo? Sidhani kama hilo lina ukweli.

Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.


ni dini gani za asili zinazofundisha vitisho ,by the way unamaanisha nini unaposema dini za asili?
 
Yohana wa ufunuo aliona watu wakienda motoni idadi yao kama mchanga wa bahari. Hawa ni wengi kutisha. Hivyo usiwe na wasi kama utaenda motoni utakuwa umetimiza neno la Mungu vilevile.
 
umetoa maoni yako,haikosi ni hisia zako. .si tunafata kile ambacho Mungu ametuambia kupitia vinywa vy manabii,haikutosha miaka elfu mbili iliyopita Yesu alikuja mwenyewe. . .wewe unachofanya ni kutuambia dini ina vitisho,siwez kukataa,ila neno la Mungu lina fact!. .n way nimependa jin mtazamo wako japo hauna logic.
 
Kama nlivyokuwa sijijui kabla ya kuzaliwa ndivyo ntakavyokuwa nikifa.Thats what I Believe
 
Kama huamini basi jibu maswali haya mawili 1.Kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi? 2. Ulalapo huoti ndoto nzuri na mbaya? 3. Kama no2 ni ndiyo je,uliyoyaota ulikuwa na uwezo wa akili na mwili? Hitimisho: Maandiko yanasema tutafufuliwa,hivyo tutarudi na miili yetu kama awali. Tafadhali epuka nadharia za Darwin.
 
Cheza kamari, ukiamini Mungu yupo na utende mema hautapoteza chochote kuliko usipomuamini halafu ukamkute, utafanyaje?
 
hakuna dini inayotoa vitisho
Kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto.

Hakuna hata mmoja ambaye amewahi kufa na kurejea na kutuambia kilichotokea baada ya kifo. Tunahofia kwa sababu hatuna uhakika na kitachotokea baada ya kifo na ndio maana tumebaki kutishwa na maandiko ya dini.


Maandiko mengi ya dini yamejaa vitisho vingi ambavyo ukisoma utaogopa sana kifo, tumetishwa kuhusu kuchomwa moto, kuumwa na majoka, na kuishi kwenye giza milele na mateso mengine ya ajabu ajabu, ikiwa unajihisi una dhambi hofu ndio inazidi kuongezeka maana unajua kuwa hutakuwa salama.

Hivi ni nani kati yetu ana uhakika kuwa akifa ataenda peponi? Naamini hilo ni swali gumu kwa kuwa hakuna hata mmoja kati yetu aliyewahi kujiuliza swali hilo.

Kuna masharti magumu sana yanayosimuliwa katika dini zetu hizi ambayo inabidi yatimizwe ili mtu aweze kufika peponi, na kwa kuwa wengi wetu tunajua kwamba ni vigumu kuyatimiza masharti hayo tumejikuta tukihofia kifo, kwa sababu tunajua kwamba tukifa hatutakuwa salama.

Hivi kama mafundisho ya dini yangesema kuwa huko mbinguni kuna pepo tu, ni nani angehofia kifo?

Watu hawataki kuyaacha maisha hata kama ni mabaya naya kutisha kwa sababu hawana uhakika na maisha yao baada ya kifo, wanajiuliza je huko mbinguni maisha yatakuwaje? Kwa nini mtu afe, halafu akateseke zaidi? Huko hakuna mjadala kama mtu ni wa motoni ni wa motoni tu.

Kama ukimwambia mtu asijali hata kama akifa, kwa sababu kifo kina maana ya kuuacha mwili na sio yeye kupotea, anaweza kukuuliza, "kama nitauacha mwili ina maana gani mimi kuendelea kuwepo? Sitakula, sitafanya mapenzi, sitaendesha gari, sasa ya nini kufa?"
Ni kweli yuko sahihi kwa sababu kipimo chake ni mahitaji ya mwili, kwa kuwa ndiyo anayoyafahamu zaidi.

Kwa bahati mbaya Dini zetu zinawatisha wengi badala ya kuwafundisha kuhusu baada ya kifo.

Ukweli ni kwamba maisha baada ya kifo yapo, lakini hayatakuwa kama haya tunayoishi tukiwa na miili hii inayoonekana. Ni vigumu mtu kuamni kwa sababu tumekuwa tukiishi na miili hii tunayoiona tangu kuzaliwa kwetu na hivyo kukubali nadharia hii ni ngumu kidogo.

Hebu nikuulize wewe unaesoma hapa, Hivi hujasikia watu wakisema "Bora mungu amchukue akapumzike" pale ambapo kuna mgonjwa anayeumwa na ugonjwa unaomtesa na kumpa maumivu makali? Au hujawahi kusikia watu wakisema " Bora kafa akapumzike kwa amani, ameteseka sana"
Hivi kumbe watu wakifa wanapumzika! Ajabu eeh! Sasa huu moto wa milele na majoka, na mateso mengine tunayoambiwa yanatoka wapi? Je huko kupumzika kunakosemwa kunaweza kuwa ni mahali kwenye nafuu zaidi ya mateso anayoyapata huyo mgonjwa kwa wakati huo? Sidhani kama hilo lina ukweli.

Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.


 
Ndg, ni afadhali uamini ukifika huko usimkute huyo Mungu, haitakucost chochote, KULIKO kutoamini halafu ukifika huko umkute amejaa tele utalia na kusaga meno na hayo uliyoyaandika hapo yatakufuata. Mungu yupo, kufa kupo, jehanam, ipo na MBINGU ipo, afadhali uamini leo kabla hasira ya Mungu haijawaka juu yako
 
unapinga nadharia kwa kutumia nadharia.
Umejitahidi kuandika habari ndefu lakini haina hoja ya msingi.

Kukusaidia ni kwamba swala la kuogopa kufa sio la imani ya kidini, by nature every living organism struggle for existance, ndomana sio wewe tu mwanadamu unayeogopa kufa hata kuku, bata, njiwa n.K isipokuwa ni kweli kuwa psychology can just modify, na hapo ndio habari za vitisho hivyo ulivyo visema vinachukua nafasi.
 
Kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto.

Hakuna hata mmoja ambaye amewahi kufa na kurejea na kutuambia kilichotokea baada ya kifo. Tunahofia kwa sababu hatuna uhakika na kitachotokea baada ya kifo na ndio maana tumebaki kutishwa na maandiko ya dini.


Maandiko mengi ya dini yamejaa vitisho vingi ambavyo ukisoma utaogopa sana kifo, tumetishwa kuhusu kuchomwa moto, kuumwa na majoka, na kuishi kwenye giza milele na mateso mengine ya ajabu ajabu, ikiwa unajihisi una dhambi hofu ndio inazidi kuongezeka maana unajua kuwa hutakuwa salama.

Hivi ni nani kati yetu ana uhakika kuwa akifa ataenda peponi? Naamini hilo ni swali gumu kwa kuwa hakuna hata mmoja kati yetu aliyewahi kujiuliza swali hilo.

Kuna masharti magumu sana yanayosimuliwa katika dini zetu hizi ambayo inabidi yatimizwe ili mtu aweze kufika peponi, na kwa kuwa wengi wetu tunajua kwamba ni vigumu kuyatimiza masharti hayo tumejikuta tukihofia kifo, kwa sababu tunajua kwamba tukifa hatutakuwa salama.

Hivi kama mafundisho ya dini yangesema kuwa huko mbinguni kuna pepo tu, ni nani angehofia kifo?

Watu hawataki kuyaacha maisha hata kama ni mabaya naya kutisha kwa sababu hawana uhakika na maisha yao baada ya kifo, wanajiuliza je huko mbinguni maisha yatakuwaje? Kwa nini mtu afe, halafu akateseke zaidi? Huko hakuna mjadala kama mtu ni wa motoni ni wa motoni tu.

Kama ukimwambia mtu asijali hata kama akifa, kwa sababu kifo kina maana ya kuuacha mwili na sio yeye kupotea, anaweza kukuuliza, "kama nitauacha mwili ina maana gani mimi kuendelea kuwepo? Sitakula, sitafanya mapenzi, sitaendesha gari, sasa ya nini kufa?"
Ni kweli yuko sahihi kwa sababu kipimo chake ni mahitaji ya mwili, kwa kuwa ndiyo anayoyafahamu zaidi.

Kwa bahati mbaya Dini zetu zinawatisha wengi badala ya kuwafundisha kuhusu baada ya kifo.

Ukweli ni kwamba maisha baada ya kifo yapo, lakini hayatakuwa kama haya tunayoishi tukiwa na miili hii inayoonekana. Ni vigumu mtu kuamni kwa sababu tumekuwa tukiishi na miili hii tunayoiona tangu kuzaliwa kwetu na hivyo kukubali nadharia hii ni ngumu kidogo.

Hebu nikuulize wewe unaesoma hapa, Hivi hujasikia watu wakisema "Bora mungu amchukue akapumzike" pale ambapo kuna mgonjwa anayeumwa na ugonjwa unaomtesa na kumpa maumivu makali? Au hujawahi kusikia watu wakisema " Bora kafa akapumzike kwa amani, ameteseka sana"
Hivi kumbe watu wakifa wanapumzika! Ajabu eeh! Sasa huu moto wa milele na majoka, na mateso mengine tunayoambiwa yanatoka wapi? Je huko kupumzika kunakosemwa kunaweza kuwa ni mahali kwenye nafuu zaidi ya mateso anayoyapata huyo mgonjwa kwa wakati huo? Sidhani kama hilo lina ukweli.

Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.



Mimi nafikiri kabla ya kutafuta kama kuna maisha baada ya kifo tafuta kwanza mambo yote yaliyopo duniani ukiwemo wewe mwenyewe yamefanywa na nani? Halafu kama ni mkristo soma Bibilia vizuri. Soma Mathayo 17: 1 - 13 halafu utupe tafakari yako ndugu na link ya Bible naweka kabisa hapa The New American Bible - IntraText
 
<font size="3"><font color="black"><span style="font-family: Calibri">Kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto.<br />
<br />
Hakuna hata mmoja ambaye amewahi kufa na kurejea na kutuambia kilichotokea baada ya kifo. Tunahofia kwa sababu hatuna uhakika na kitachotokea baada ya kifo na ndio maana tumebaki kutishwa na maandiko ya dini.</span></font><br />
<font color="black"><br />
<span style="font-family: Calibri">Maandiko mengi ya dini yamejaa vitisho vingi ambavyo ukisoma utaogopa sana kifo, tumetishwa kuhusu kuchomwa moto, kuumwa na majoka, na kuishi kwenye giza milele na mateso mengine ya ajabu ajabu, ikiwa unajihisi una dhambi hofu ndio inazidi kuongezeka maana unajua kuwa hutakuwa salama.<br />
<br />
Hivi ni nani kati yetu ana uhakika kuwa akifa ataenda peponi? Naamini hilo ni swali gumu kwa kuwa hakuna hata mmoja kati yetu aliyewahi kujiuliza swali hilo.<br />
<br />
Kuna masharti magumu sana yanayosimuliwa katika dini zetu hizi ambayo inabidi yatimizwe ili mtu aweze kufika peponi, na kwa kuwa wengi wetu tunajua kwamba ni vigumu kuyatimiza masharti hayo tumejikuta tukihofia kifo, kwa sababu tunajua kwamba tukifa hatutakuwa salama.<br />
<br />
Hivi kama mafundisho ya dini yangesema kuwa huko mbinguni kuna pepo tu, ni nani angehofia kifo?<br />
<br />
Watu hawataki kuyaacha maisha hata kama ni mabaya naya kutisha kwa sababu hawana uhakika na maisha yao baada ya kifo, wanajiuliza je huko mbinguni maisha yatakuwaje? Kwa nini mtu afe, halafu akateseke zaidi? Huko hakuna mjadala kama mtu ni wa motoni ni wa motoni tu.<br />
<br />
Kama ukimwambia mtu asijali hata kama akifa, kwa sababu kifo kina maana ya kuuacha mwili na sio yeye kupotea, anaweza kukuuliza, "kama nitauacha mwili ina maana gani mimi kuendelea kuwepo? Sitakula, sitafanya mapenzi, sitaendesha gari, sasa ya nini kufa?"<br />
Ni kweli yuko sahihi kwa sababu kipimo chake ni mahitaji ya mwili, kwa kuwa ndiyo anayoyafahamu zaidi.<br />
<br />
Kwa bahati mbaya Dini zetu zinawatisha wengi badala ya kuwafundisha kuhusu baada ya kifo.<br />
<br />
Ukweli ni kwamba maisha baada ya kifo yapo, lakini hayatakuwa kama haya tunayoishi tukiwa na miili hii inayoonekana. Ni vigumu mtu kuamni kwa sababu tumekuwa tukiishi na miili hii tunayoiona tangu kuzaliwa kwetu na hivyo kukubali nadharia hii ni ngumu kidogo.<br />
<br />
Hebu nikuulize wewe unaesoma hapa, Hivi hujasikia watu wakisema "Bora mungu amchukue akapumzike" pale ambapo kuna mgonjwa anayeumwa na ugonjwa unaomtesa na kumpa maumivu makali? Au hujawahi kusikia watu wakisema " Bora kafa akapumzike kwa amani, ameteseka sana"<br />
Hivi kumbe watu wakifa wanapumzika! Ajabu eeh! Sasa huu moto wa milele na majoka, na mateso mengine tunayoambiwa yanatoka wapi? Je huko kupumzika kunakosemwa kunaweza kuwa ni mahali kwenye nafuu zaidi ya mateso anayoyapata huyo mgonjwa kwa wakati huo? Sidhani kama hilo lina ukweli.<br />
<br />
Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.</span><br />
<br />
</font></font>
<br />
<br />
umeeleza vizuri sana mkuu UNA JIPYA.
 
Ndg, ni afadhali uamini ukifika huko usimkute huyo Mungu, haitakucost chochote,

Ina-cost Bana, manake itabidi uache dhambi zote kwa maana ya kukaa mbali na Starehe zote,, halafu ndiyo uende usimkute? Dah, nitachoka sana aisee......
 

Labda nihitimishe kwa kusema kuwa kufa ni hatua muhimu ya mwanaadamu kutoka katika hatua moja kwenda hata nyingine, ambayo itakuwa ni tofauti na mwili huu tunao uona, mwili ambao hauwezi kujibainisha na mwili huu tulionao, kwa hiyo unapofiwa huna haja ya kuhofu kwani huyo aliyekufa hajapotea bali amechukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya.



Hapo kwenye Bold huo ufunuo umeutoa wapi?, in short umejuaje kwamba mtu akifa anachukua mwili mwingine na kuanza maisha mapya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom