MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,855
- 6,213
Heshima kwenu wadau,
Nipo safarini kwenye dala dala naenda kumcheki mwana Tandika..
Mbele ya dala dala kwa ndani kuna bonge la tangazo " ukisinzia tunakusachi" na kumcheki huyo konda mwenyewe na dereva nimechanganyikiwa... Halafu usingiz unaninyemelea
Nipo safarini kwenye dala dala naenda kumcheki mwana Tandika..
Mbele ya dala dala kwa ndani kuna bonge la tangazo " ukisinzia tunakusachi" na kumcheki huyo konda mwenyewe na dereva nimechanganyikiwa... Halafu usingiz unaninyemelea