naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Picha inaongea mubashara..hii ndio Tanzania
Yaani no balaa nduguBado kuna mabaki ya mafuta humo ndani....??
Njaa izi acha tu
Ameenda kukombeleza yaliyobaki jamani.
Huyu nyumbu kabisa mwili tu ndio wa kibinadamPicha inaongea mubashara..hii ndio Tanzania View attachment 1178465
Uyu bwana ana roho ngumu sanaNaomba vyombo husika kumchukulia hatua huyu umbwa
Acha tuHuyu nyumbu kabisa mwili tu ndio wa kibinadam
hata nyumbu watasema wao sio wajinga kama huyuHuyu nyumbu kabisa mwili tu ndio wa kibinadam
huyu boya afungwe alafu wananchi tumpige viboko hadharaniNaomba vyombo husika kumchukulia hatua huyu umbwa
tuachiwe wananchi tumtie adabuNaomba vyombo husika kumchukulia hatua huyu umbwa
Hajaamini majicho yake kama yaliungua yote.Njaa izi acha tu
Uyu bwana ana roho ngumu sana
tuachiwe wananchi tumtie adabu
Naomba vyombo husika kumchukulia hatua huyu umbwa
Nani mwenye jukumu la kulinda usalama wa raia na mali zao?Kuna watu wapo humu akifa hapo wanailaumu serikali.