Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,715
natamani kuwa daktari
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hii pic....Huyo mgonjwa tiba ya maradhi yake ni kunyonywa tu
Nikiumbe anaetumia akil nying kweny mambo ya 0 profitiNimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hii pic....
Huyo ni mgonjwa au ndugu wa mgonjwa au mtoa huduma was afya?
Kama ni mgonjwa/ndugu/mfanyakaz nn lengo LA kupiga hiyo pic hakiwa hivyo sehemu yenye heshima kama hiyo?
Jibu nililopata ni kwamba mwanamke ni kiumbe mmoja very complex .
Kwani dkt anaumwa nini ?Dha hadi dokta mwenyew lazima apone
Bora Utamani kuwa mhudumu wa mochwari, utakuwa huru kufanya lolote.natamani kuwa daktari
Halafu hapo unaambiwa kaathirika ili hali anakutega hivyo. Hapo ndio utajua kifo potelea mbali
Hahaha..Huyo mgonjwa tiba ya maradhi yake ni kunyonywa tu
Umedandia treni kwa mbeleNimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hii pic....
Huyo ni mgonjwa au ndugu wa mgonjwa au mtoa huduma was afya?
Kama ni mgonjwa/ndugu/mfanyakaz nn lengo LA kupiga hiyo pic hakiwa hivyo sehemu yenye heshima kama hiyo?
Jibu nililopata ni kwamba mwanamke ni kiumbe mmoja very complex .
Nikiumbe anaetumia akil nying kweny mambo ya 0 profiti
Aahhh kweli.....Umedandia treni kwa mbele
Waliogundua kondomu walishaliona hiloHalafu hapo unaambiwa kaathirika ili hali anakutega hivyo. Hapo ndio utajua kifo potelea mbali
unaingilia kazi za mshana jr!Bora Utamani kuwa mhudumu wa mochwari, utakuwa huru kufanya lolote.