mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,271
Kim Kardashian atakuwa shemeji yenu,pia Beyonce atafuatia na mwisho nitaileta bahari ya Hindi Dodoma ili ikulu na mawaziri wahamie makao makuu ya nchi na zilizobaki nitatoa makanisani,mashuleni,misikitini na kwa wana CCM wenzangu ili ikifka 2015 niwe mkaazi wa Magogoni