Ukishikwa......

........shikamana!

Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k

Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!

Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!

Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!

Lizzy,

Ukishikwa... shikamana!

Umenikumbusha thread yangu ya jana niliyotaka kujua jinsi gani unawasiliana na spouse wako, kwenye mambo kama unayoyasema hapo juu!!
 
sweetheart mie mzima wa afya, hofu kwako tu ulie mbali na upeo wa macho yangu.....wacha tu sweet mapenzi kitu matata sana sana.
hapo red umenikumbusha zile barua zetu za praimari. Asante mpenzi
Hapo buluu itabidi tukomae tu, kiama chenyewe kimehairishwa! tutafanyaje unadhani.
 
Mimi hizi uzi zako zinanichanganya saana Partner... zinzongea mule mule;
kunichanganya kunakuja kutokana na wewe kutokuemo humo kama sisi but
sometimes i feel you know more than sisi wahusika.... Dah! :doh:
Despite kua you are my MP Napenda your threads, so educative

Nikweli lakini wasiwasi wangu ni kwamba anaelewa mpaka anapitiliza na hii kwake sio nzuri sana kwani kwenye uhusiano hakuna fomula ya mojakwamoja!na kama kila kitu unafikiria sana utaona kila kitu sio sawa!
 
Code:
........shikamana!
 
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu  wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza  KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k
 
Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana  INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata  ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani  kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa  yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata  akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa  yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza  ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu  unaamua kumpotezea tu!
 
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa  kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana  kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye  kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa  elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!
 
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...[COLOR=red]ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!![/COLOR]

karibu ninakula wali kwa dagaa wa bwawa la Nyumba ya Mungu ni watamu balaa............
 
........shikamana!

Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k

Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu unaamua kumpotezea tu!

Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!

Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!

Kuna watu wanahusika kwenye haka kasredi! mi sijioni kabisa humu,lakini ngoja nikapitie tu kukasoma!
 
Code:
........shikamana!
 
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu  wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza  KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k
 
Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana  INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata  ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani  kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa  yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata  akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa  yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza  ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu  unaamua kumpotezea tu!
 
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa  kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana  kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye  kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa  elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!
 
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...[COLOR=red]ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!![/COLOR]

karibu ninakula wali kwa dagaa wa bwawa la Nyumba ya Mungu ni watamu balaa............
Hivi nyuma ya Mungu hua kuna dagaa?!?Mi sijawahi kuwala....ila perege huniambii kitu!!
 
Code:
........shikamana!
 
Baada ya jambo fulani jana nilijikuta nafikiria kuhusu watu  wanavyoBEHAVE kwenye mahusiano.Wengine utakuta wanaendekeza  KIBURI...wengine KUDEKA...wengine KULALAMIKA...n.k
 
Vyote hivi vikizidi kwakweli vinaweza kuvunja mahusiano maana  INABOA/CHOSHA...kuna mtu unakuta hata akikosea yeye samahani mwiko.Hata  ukimuwia mpole japo ye ndo mwenye kosa inakua bado haitoshi....yani  kiburi chake ndo kinamtawala.
Wale walalamikaji nao yani utadhani ulimwengu mzima kabebeshwa  yeye....kila saa kama anataka kulia..kila kitu ye ni kama anaonewa.Hata  akifanya kosa kulia atalia yeye ...na kubembelezwa atabembelezwa  yeye.Hawa wadekaji maarufu ndo kabisaaa...mtu kadri unavyombembeleza  ndivyo anavyozidisha!Yani utadhani mashindano...mpaka mwisho wa siku mtu  unaamua kumpotezea tu!
 
Nnachosema ni kwamba...mapenzi sio kukomoana jamani!Kila kitu fanya kwa  kiasi!Wapenzi/wenza hawatakiwi kua na ushindani...labda kama mnashindana  kuonyeshana mapenzi na sio nani kinara wa kulalamika au nani mwenye  kivuri zaidi ya mwenzie!Hivyo basi ukishokwa shikamana...ukielezwa  elewa...ukipendwa pendeka...ukiheshimiwa heshimu na heshimika pia!
 
Siku njema....lunch ugali wa maharage leo...ama kuna mtu kapika nyama naomba mwaliko!!!
nikirudi kwenye hoja ukiona panafuka moshi ujue panaficha moto.........................your partner takes advantage of your own whimsical weaknesses..............................mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..........na mpenzi au rafiki ni kama mtoto vile apaswa kulelewa ipasavyo.................kama ulimdekeza tangia siku ya kwanza kwa sababu ya udhaifu wako mwenyewe wa kubembeleza penzi sasa majuto huwa ni mjukuu......................umepata lakini kumbe umepatikana na ukijaribu kubadilika atataka kujua sababu za mabadilko na kwa kawaida lazima akuweke kwenye kibanio kikali........sasa usilie sana maana unavuna ulichopanda........................ALWAYS IN RELATIONSHIPS just be yourself...........................do not pretend to be somebody else and later get dazed 4 being a copycat.......... you will have to face the music..............
 
Nikweli lakini wasiwasi wangu ni kwamba anaelewa mpaka anapitiliza na hii kwake sio nzuri sana kwani kwenye uhusiano hakuna fomula ya mojakwamoja!na kama kila kitu unafikiria sana utaona kila kitu sio sawa!

Pole yangu...kumbe kujua kukizidi kunakua mzigo ehhh!?
 
Wanachosha kweli...ni kazi zaidi hata ya kulea mtoto mchanga!!!

Ivi kweli wapo watu wa hivyo!!!!kweli wanachosha jitahindi ukatane nae hata mmoja mwekee upupu kwenye shuka wakati amelala!!!!!!malalamishi yake du!
 
Partner nimeletwa kwenu kufikisha ujumbe na kumwaga taaluma!!Lolzz...just kidding!
Haya wote yanatuhusu...hata sie SINGLE LADIES tunaona wanaume wenye magubu wametuzunguka mpaka tunakosa raha!Siku nikijikuta niko ndani yaliyomo sijui ntayaweza au yatanishinda!!

Kumbe wengi!
 
Back
Top Bottom