Ukishika shikamana

Ukishika shikamana

dogo sipendi unichongechonge sana mpaka niwe kinyago
ujumbe huu sijamwandikia mtu yeyote maalum hapa mjengoni bali marafiki zangu wote waliomo mjengoni humu
pls usichochee magombano bure humu tuanze mwaka kwa amani na upendo pls bestito
Dogo huu ujumbe haukuhusu, kuna mtu/watu maalum wameandikiwa hakyamama...


CC Asprin, Mentor
 
Nilifikikiri haujaupenda na kusema ni wa wengine wakati ni wamarafiki zangu wote humu mjengoni
halafu kaizer anataka makubwa hapa besti si kawataja wale watu maarufu nchini Tanzania?
binamu kinyama cha hamu....kwanini nisiupende...?
 
Stori yenyewe ni kama imekaa kimipasho mipasho zaidi.
 
Back
Top Bottom