ikishindikana mtafute mwanaume amtongoze ili ajione kibinti bado
hhahaha ushauri safi sana
usiahirishe ila mpenzio kajisahahu kajua akisha zaa amekushika na kusahahu mwanaume matunzo... usimwache utamuumiza zaidi ila kama ajavaa sidiria mwambie vaa msifie sifie unaonekana mdogo japo umezaa ataanza kujikeep vizuri......
ikishindikana mtafute mwanaume amtongoze ili ajione kibinti bado
.......
ikishindikana mtafute mwanaume amtongoze ili ajione kibinti bado
usiahirishe ila mpenzio kajisahahu kajua akisha zaa amekushika na kusahahu mwanaume matunzo... usimwache utamuumiza zaidi ila kama ajavaa sidiria mwambie vaa msifie sifie unaonekana mdogo japo umezaa ataanza kujikeep vizuri......
ikishindikana mtafute mwanaume amtongoze ili ajione kibinti bado
Kama ni ushauri basi huu ndio wenyewe wakuanza nao ila ampe tenda mwaminifu...
Wiki ya pili sasa toka atoke kwao na kichanga changu na sikuwahi ishi nae zaidi ya kuduu tu na akikaa kwangu ni siku moja ama mbili basi anarudi kwake.
Kinachonishangaza sijui nini yaani amekuwa mtu wa kujiachia tu tofauti na awali akija getho atapiga deki hata mara tatu kwa siku lakini sasa hivi inaweza ipite asipige kabisa, chakula chenyewe cha kawaida kabisa wakati zamani hata kama ni tembele basi ataweka na kachumbali.
Mwanzoni nilimkubali sana kutokana na jinsi alivyo ni care lakin sasa mh! Ziwa lenyewe analiachia mpaka limepoteza mvuto wakati zamani ukigusa sidilia tu anaruka na kuongeza chachu ya kuduu na tukiwa chumbani ndo kabisaa yaani nimemzoea mpaka basi, mpaka mvuto umeisha sasa najiuliza sijui ndo 'ufyele' au hii hali itakuja badilika. nataka muoa kabisa ila hii hali inanitisha jamani sijui ni airishe tu lah.
Ah ah poa swahiba umeamua kuniunguzia
Eti kasema sijatulia wakati namsaidia ili mkewe ajione mzuri
usiahirishe ila mpenzio kajisahahu kajua akisha zaa amekushika na kusahahu mwanaume matunzo... usimwache utamuumiza zaidi ila kama ajavaa sidiria mwambie vaa msifie sifie unaonekana mdogo japo umezaa ataanza kujikeep vizuri......
ikishindikana mtafute mwanaume amtongoze ili ajione kibinti bado