Ukishangaa ya Uamsho, haya utasemaje?

Hoja mfu ni ipi? wewe hujisalimishi kwa muumba wako?
.........mmmh! hapa mkuu ungekuwa wazi kidogo unamzungumzia muumba yupi? maana kuna muumba yule aliyemuumba kwanza Adamu na Hawa halafu kuna yule muumba mwingine aliyeumba kalamu. Sijui unamzungumzia yupi?. Na hawa waumbaji wawili wapo tofauti kutokana na mafundisho yao kwani mmoja anahimiza amani, upendo na mshikamano wakati mwingine anahimiza mauaji, chuki, kujilipua, uzinzi n.k
 
Mbona mnajichanganya, mi nimeona tume ni waislam na mafisadi nao ni waislam. Mi sijaona mchango wa uislam hapo wala kosa la uislam. Nimeona mafisadi wametajwa majina na walichofanya.
Tumezoea kusikia majina yakitajwa lakini hakuna hatua. Tusubiri tuone itakavyokuwa au hiyo hotuba kukaririwa na watu kama bongo fleva au taarabu.
 

Qur'an.2:117. Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi pasina ruwaza; na anapo taka jambo basi huliambia tu: Kuwa! Nalo huwa.
 

Unapokuwa na Wafanyakazi 83% wa elimu ya Ubaguzi wa Ujinga wakashindwa kuiendesha nchi kwa miaka zaidi ya 50 kwa mafanikio inabidi ujitazame upya ni wapi penye utata.
 
Hapana. Siamini kama asiyekuwa Muislaam ni mjinga bali naamini kwamba asiyekuwa Muislaam amejazwa ujinga asiokuwa nao, hali kadhalika kuna Waislaam waliojazwa ujinga wasio nao.

Jee, wewe hujisalimishi kwa mola wako?

Sina haja ya kupoteza Almasi yangu kwa kipande cha chupa...Rejea Mathayo 28:18
....Nimepewa Mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwajina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu; na kukwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Kwahiyo zomba haya maneno yalisemwa mwaka 33 sasa sina haja ya kumsikiliza mwingine awaye yeyote aliyekuja miaka mia sita baadaye kwani hayo sio maagizo.... Rejea nilipoweka rangi ya blue ukizingatia kuwa ukamilifu wa dahari haujafikia... Huo ndio "ujinga" wangu/wetu kushika na kufuata maagizo halali..Ni hayo tu. Hatupepesi macho wala hatumung'unyi maneno....Aksante!
 
Mie nadhani tuwachane nao tu, hivi wanatusaidia nini katika huu Muungano hata sisi ndio tuung'ang'anie?.......


zomba
, leo kwa mara ya pili umepokea like yangu, Kuhusu suala la kuachana na hawa Jamaa, adui yetu number moja ni CCM.
CCM wanajua kabisa without Zanzibar they are Nothing, mark my words.
 
Hapana. Siamini kama asiyekuwa Muislaam ni mjinga bali naamini kwamba asiyekuwa Muislaam amejazwa ujinga asiokuwa nao, hali kadhalika kuna Waislaam waliojazwa ujinga wasio nao.

Jee, wewe hujisalimishi kwa mola wako?

Hahahahaaaaa!!!!!!!!!!!!!

Kwa hiyo elimu ni madrassat pekee? hata waislamu walioenda kwenye elimu za sekondari na vyuo vikuu wamejazwa ujinga nao? Muislamu aliyesoma Madrassat tu bila kwenda hata chekechea yeye ndo hajajazwa ujinga?
 
Mnh! Hii habari ndefu kama barabara inahitaji muda. Bora ungeweka summary na link ya habari yenyewe. Labda ntarudi kupitia comments tu bila kuisoma.

pitia habari yote ndipo utoe comments,wewe ,comments zako si lolote pasipo kusoma habari, au ndio unataka kuleta ya ubunge wa kunga mkono hoja na kupiga makofi .........
 
pitia habari yote ndipo utoe comments,wewe ,comments zako si lolote pasipo kusoma habari, au ndio unataka kuleta ya ubunge wa kunga mkono hoja na kupiga makofi .........

Mkuu nisome vizuri kabla ya kuponda. Sijasema nita comment kuhusu hii habari bali nimesema nitarudi kupitia comments yaani kusome comments za wadau.
 
uislam ni ukweli na ukweli ndio uislam.
kwa mtazamo huu! Bora dunia ivurugwe ianze nyingine! Tatizo bado ni kubwa kuliko nilivyofikiri! I dont knw what happened that so many pipo are mind blinded!
 
Hahahahaaaaa!!!!!!!!!!!!!

Kwa hiyo elimu ni madrassat pekee? hata waislamu walioenda kwenye elimu za sekondari na vyuo vikuu wamejazwa ujinga nao? Muislamu aliyesoma Madrassat tu bila kwenda hata chekechea yeye ndo hajajazwa ujinga?

Wapo waliojazwa ujinga sana tu. Ambao ujinga hauwaingii kirahisi ni wale wanaoanza chuo halafu ndio darasa. Upo hapo ulipo?
 
Mansour nje ya serikali analiongeleaje hili kwa sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…