Andika vizuri basi babuMwaiposa kajitahidi mpaka mmetoboa lakini hata shukrani amjapa,
Ubingwa mtausikia kwenye bomba
Mkaushie... shida zina tabia ya kutukutanisha... atajichanganya tena....Kuna mtu nimempa backup kubwa sana ila akaishia kutuma text “ thanks”.
Single mother are for the reason, stay away
Hizi nikama Hadithi za kiswahiliNyie endeleeni kususa kwa 'Hatuchezi'..
Mnairahisisha njia ya Simba kupiga 'treble'.....
Ya NBC,CRDB FA, na CAF CC...
Ubaya Ubwela..!
'Berekane' ndani ya bongo Lazima aambulie Kipigo cha Umbwa.! Iwe ZNZ au Kwa Mkapa......akamuulize Almasry ni kilimtokea..!
😃😁😂😅😀😃Nje ndani aibu ya nchi