jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 821
Napenda tu kuwa taarifu wanaume wenzangu wale ambao wanategemea kuingia kwenye suala la ndoa Ni kwamba mama uchangia robo tatu ya tabia ya mtoto/mienendo/hulka na matendo
Hili linadhihirishwa na mfumo wa genetic ambao mwanamke anatoa XX na mwanaume anatoa XY. Ukichukulia idadi ya Chromosome X ni 3/4 na idadi ya chromosome Y ni 1/4
Kwa hiyo ili uweze kupata uzao bora na wenye mafanikio utegemeana na uzao wa mama upoje. Mnakumbuka kale ka msemo. Kwamba mwana mwerevu ni furaha ya babaye ila mwana mpumbavu ni mzigo wa *****
Na ukibisha kwa hili hebu angalia familia ambazo kwa kiasi kikubwa watoto wamefanikiwa kimaisha, angalia upande wa mama utaona anasadifu yaliyomo
Chagua mwanamke mwerevu hakika utapata watoto werevu
Hili linadhihirishwa na mfumo wa genetic ambao mwanamke anatoa XX na mwanaume anatoa XY. Ukichukulia idadi ya Chromosome X ni 3/4 na idadi ya chromosome Y ni 1/4
Kwa hiyo ili uweze kupata uzao bora na wenye mafanikio utegemeana na uzao wa mama upoje. Mnakumbuka kale ka msemo. Kwamba mwana mwerevu ni furaha ya babaye ila mwana mpumbavu ni mzigo wa *****
Na ukibisha kwa hili hebu angalia familia ambazo kwa kiasi kikubwa watoto wamefanikiwa kimaisha, angalia upande wa mama utaona anasadifu yaliyomo
Chagua mwanamke mwerevu hakika utapata watoto werevu