Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,982
Hakuna haja ya kumpa airtime mtafuta sifaHivi hakuna namna tunaweza kumsaidia Pierre amfungulie mashtaka ya kashfa huyu jilo?!
Jr
Hakuna haja ya kumpa airtime mtafuta sifaHivi hakuna namna tunaweza kumsaidia Pierre amfungulie mashtaka ya kashfa huyu jilo?!
nimejaribu wanavyosema wahindi nimecheka sanaa mkuu. asante kwa ufafanuzi
We jamaa utakua unasoma vitabu sana mtanzania wa kawaida hawezi kuwaza hivi hata siku moja big upMtu wa Hovyo kwa ninavyojua ni Mtu anayependa kuendeleza Mijadala ya Hovyo. Kama toka jana hadi leo bado unataka kumjadili makonda na Piere basi ni wazi we ni mtu wa Hovyo.
We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Halafu hakuwatusi aliambiwa unaonekana una furaha muda wote hebu jalibu ku act kama una hasira ndio akaongea maneno yale sasa watu wakakata kipande wakaanza kumchafua nachoUnaonaje Mkuu ukaanzisha uzi mwingine kuhusu Pierre Liquid kuwatusi Wana habari.
Tutakuja kuchangia
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
JILO! . WE JAMAA HUFAInimejaribu wanavyosema wahindi nimecheka sanaa mkuu. asante kwa ufafanuzi
Kihiyo alitema ubunge kwa kudanganya elimu yake. Huyu naye ilikuwa sehemu stahiki ya kumbana, tatizo leo hii watu tumekuwa waoga sana.Hakuna haja ya kumpa airtime mtafuta sifa
Jr
Sana aisee . GREAT THINKERShata ww hufai umejaribu ndo maana unasema hivyo hahahahahaha ila JF ina raha sana
Mkuu Fabulous ungefaa kuwa mtunzi wa mitihani ya NECTAMmasai Ole Gunar S
Umenikumbusha enzi nipo wadosi....jiro...wahindi hawawezi kusema sefuli wanasema jilo
Jr
ok..piere wako wengi lakiniUsiandike kitu usichokuwa na uhakika nacho. Kataja jina.