PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,114
- 29,965
Miaka minne aliondoka na leaving certificate hiyo ni laana
Alisema "kina mama wapewe kipaumbele sio hawa waleviwalevi kina Pierre sijui nani", labda kama Pierre si jina la huyo jamaa.Zero brain hakumtaja piere kwa jina
Ok..labda defense yake ni kwamba piere wapo wengiAlisema "kina mama wapewe kipaumbele sio hawa waleviwalevi kina Pierre sijui nani", labda kama Pierre si jina la huyo jamaa.
Well, ukizingatia naye ana makandokando kibao, ingekuwa nchi za wenzetu wangeshaidaka hii kesi. Nina hakika kama si kumdhuru Pierre, basi angeomba wayamalize nje ya mahakama.Ok..labda defense yake ni kwamba piere wapo wengi
Mmasai Ole Gunar SKuna wakuu wa Mikoa wawili Tanzania wana F Zote kwenye mtihani wao wa NECTA.
Ukifeli usife moyo. Your dady might be coming.
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Kuna wakuu wa Mikoa wawili Tanzania wana F Zote kwenye mtihani wao wa NECTA. Ukifeli usife moyo. Your dady might be coming.
F zote ndio sifa ya kuteuliwa na serikali yetu pendwa ya awamu ya tano..
ZEROOO BABA USHAIDI NEDA KWA GWAJIMA KIBOKO YAO
Unajuaje labda kazi rasmi aliyoitiwa pale ni kumtukana huyo jamaa. Huyu Piere Liquid naye ni "zero brain" vilevile. Kuna clip alisikika akitumia maneno kama ya mheshimiwa kuwadhalilisha wanahabari.Sikumsikia akisema chochote wala kuja na Strategy yeyote kuhusu kutokomeza zero zaidi ya kumtukana Pierre
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Usiandike kitu usichokuwa na uhakika nacho. Kataja jina.Zero brain hakumtaja piere kwa jina
Wewe ni fala, huwezi kumpangia mtu kitu cha kupost na kujadili humu. Ziro ya taifa inajadiliwa tu muda wowote.Mtu wa Hovyo kwa ninavyojua ni Mtu anayependa kuendeleza Mijadala ya Hovyo. Kama toka jana hadi leo bado unataka kumjadili makonda na Piere basi ni wazi we ni mtu wa Hovyo.
We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Unaonaje Mkuu ukaanzisha uzi mwingine kuhusu Pierre Liquid kuwatusi Wana habari.Unajuaje labda kazi rasmi aliyoitiwa pale ni kumtukana huyo jamaa. Huyu Piere Liquid naye ni "zero brain" vilevile. Kuna clip alisikika akitumia maneno kama ya mheshimiwa kuwadhalilisha wanahabari.
Siku hazigandi na wakati si milele.... Kumbuka pia umri sio miakaMagu anawakosea sana watanzania kumlea huyu bashite lakini Kwa kua ndo mpendwa wake anayemtuma front kuteka na kuua
Sent using Jamii Forums mobile app