Ukipata zero ya 35 means umepata F zote Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
 
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Sikumsikia akisema chochote wala kuja na Strategy yeyote kuhusu kutokomeza zero zaidi ya kumtukana Pierre

Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
 
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Tokomeza SIFURI inaweza kuondoka na mtu

Jr
 
Ukipata zero ya 35 means umepata F zote. Kama ulikua unasoma masomo 7 (NECTA minimun requirement) means una F 7. Hizo F 7 maana yake ni Form Four Fighting For Food For Four Years. Hiyo ndio ZERO ya 35. Yani medula haikuambulia kitu. Hata lugha ya taifa ni apeche alolo. Subhanallah. Inabidi taifa tuunge mkono juhudi za DC Jokate Mwegelo za kutokomeza zero Kisarawe na maeneo mengine ya nchi. Form Four Fighting For Food For Four Years. #TokomezaZero
Ndio maana yule kioo ngozi wao anajaa tu msambwada hahaaaa
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom