Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Ukipata nafasi ya kumuumiza Mwanamke kwenye mahusiano usisite kufanya hivyo!,maana yeye akipata hiyo nafasi huwa hajiulizi mara mbili, kitu kinachotuponza sisi wanaume ni huruma ndio maana kwa asilimia kubwa tumekuwa wahanga wakupigwa matukio!
Mwanaume akitaka kumpiga chini mwanamke huwa anajiuliza sana huyu nikimuacha ataishi Vipi, atapitia changamoto zipi etc, ndio maana mwanaume ni rahisi kumfungulia biashara mwanamke ama kumtafutia kazi ili asipate tabu! Lakini mwanamke akitaka kukupiga chini huwa hafikirii chochote kama utaishi vipi, hata kama utapitia mabaya kiasi gani hilo utajua mwenyewe! Anakupiga matukio bila kujali wema wowote ulimfanyia!
Mwanaume akitaka kumpiga chini mwanamke huwa anajiuliza sana huyu nikimuacha ataishi Vipi, atapitia changamoto zipi etc, ndio maana mwanaume ni rahisi kumfungulia biashara mwanamke ama kumtafutia kazi ili asipate tabu! Lakini mwanamke akitaka kukupiga chini huwa hafikirii chochote kama utaishi vipi, hata kama utapitia mabaya kiasi gani hilo utajua mwenyewe! Anakupiga matukio bila kujali wema wowote ulimfanyia!