Askarimtu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 277
- 185
Haijalishi una marafiki wangapi na ni mabest kivipi, ila tu jiandae kisaikolojia kuwa pale unapopata mchumba...na mchumba yule akawa mzuri basi maadui huongezeka sana.
Binafsi ilinitokea kama miaka 2 hadi 3 iliyopita, na nikawa nachati na maadui zangu bila wao kugundua kuwa wanachati na nani!! Japo kuna kipindi nilijifanyisha kwamba nimewagundua karibuni, nikawatukana sana...kumbe bwana mzee nilikuwa nachati nao kitamboooo!!! Kumjua adui yako kabla hajagundua kuwa unamjua, ni raha sana....chukua nafasi hiyo kumnyonya ubongo wake (kujua mawazo yake mabaya), itakusaidia sana sana siku nyingine!
Pia kumjua adui yako bila pupa inakusaidia kusamehe....acha pupaaaaaaaaaaaa!!!!!! acha pupa usije kufa.....!!!!
Ngoja nikupe mfano kidogo....!
- Utajisikiaje adui yako ambaye unachati nae bila yeye kujua kuwa ni wewe, akasema kuwa :
''huyo jamaa ni mshamba hawezi kukumiliki wewe, mchune tu.....''
Mpaka sasa naendelea kupambana na watu wangu wa karibu, nikagundua kuwa umiliki wa silaha ni hatari kwa afya ya jamii! !!
Ni wengi mno, wengine wameshindwa, wengine hawakati tamaa...
Kitu kinachochukiza ni kwamba wanafiki wanaweza wakakufundisha unafiki......mkikutana huko mnacheeeeka kumbe wanakunafikia na wewe unawanafikia....hatari sana hii!
Ndio maana watu wanapigwa tu na kufa njiani bila sababu, kumbe walitongoza mke wa mtu (au mchumba wa mtu).
Kuweni makini vijana wenzangu....
(japo hata vibaba fulani vimtu vizima vipo hivo....)
Binafsi ilinitokea kama miaka 2 hadi 3 iliyopita, na nikawa nachati na maadui zangu bila wao kugundua kuwa wanachati na nani!! Japo kuna kipindi nilijifanyisha kwamba nimewagundua karibuni, nikawatukana sana...kumbe bwana mzee nilikuwa nachati nao kitamboooo!!! Kumjua adui yako kabla hajagundua kuwa unamjua, ni raha sana....chukua nafasi hiyo kumnyonya ubongo wake (kujua mawazo yake mabaya), itakusaidia sana sana siku nyingine!
Pia kumjua adui yako bila pupa inakusaidia kusamehe....acha pupaaaaaaaaaaaa!!!!!! acha pupa usije kufa.....!!!!
Ngoja nikupe mfano kidogo....!
- Utajisikiaje adui yako ambaye unachati nae bila yeye kujua kuwa ni wewe, akasema kuwa :
''huyo jamaa ni mshamba hawezi kukumiliki wewe, mchune tu.....''
Mpaka sasa naendelea kupambana na watu wangu wa karibu, nikagundua kuwa umiliki wa silaha ni hatari kwa afya ya jamii! !!
Ni wengi mno, wengine wameshindwa, wengine hawakati tamaa...
Kitu kinachochukiza ni kwamba wanafiki wanaweza wakakufundisha unafiki......mkikutana huko mnacheeeeka kumbe wanakunafikia na wewe unawanafikia....hatari sana hii!
Ndio maana watu wanapigwa tu na kufa njiani bila sababu, kumbe walitongoza mke wa mtu (au mchumba wa mtu).
Kuweni makini vijana wenzangu....
(japo hata vibaba fulani vimtu vizima vipo hivo....)