Nimekuelewa nusu sijakuelewa nusuWatu wengi wamekua wakiota wako shule za msingi walizosomaga na wako hawajui maana yake
Tafsiri yake ni kwamba ukiota uko shule ya msingi maana yake kuna HBO unataka kufanya halina msingi mzuri
Mfano kuna MTU anataka kuoa ghafla usiku anaota yuko shule ya msingi, anajaribu kuambiwa msingi wako sio mzuri na kama ukio oa au kuolewa ndo yako haitakua imara Kwa sababu msingi sio mzuri
Wako wanaotaka kuacha kazi ili wajiajiri ghafla wanaota wako shule ya msingi, unaajiribu kuambiwa msingi wako sio mzuri Kwa hy usiache Nazi
Unapoota uko shule ya msingi usiipuuzie tafakari jambo ambalo unampango wa kulifanya msingi wake sio mzuri
Hapana ubaya kabisa, tatizo ni kuingilia taaluma na utaalamu wa watu wahusika.Kuna ubaya wowote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Ukiota uko vidudu....
Ndio kbsaaa hilo jambo acha kbsaaa....
Haiwezekani mtu mzima una ndevu ka dododki unaletewa masuala ya vidudu...
Ni dhereuuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na Ukiota uko vidudu....
Ndio kbsaaa hilo jambo acha kbsaaa....
Haiwezekani mtu mzima una ndevu ka dododki unaletewa masuala ya vidudu...
Ni dhereuuuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na Ukiota uko vidudu....
Ndio kbsaaa hilo jambo acha kbsaaa....
Haiwezekani mtu mzima una ndevu ka dododki unaletewa masuala ya vidudu...
Ni dhereuuuu