Ukiondoa Diploma, Degree au PhD uliyonayo, kichwa chako kinabaki na nini?

Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani...
Yanga,simba,mangekimambi, ,miso misondo,pombe na wanawake
😄😀
 
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani...
Tangu nianze kusoma post zako, hii umetumia akili kubwa zaidi na umejibu swali muhimu zaidi,shukrani kwa hizi nondo.
 
Africa tunakosa elimu bora ndio maana tunaona elimu haina faida. Wachina wamewekeza kwenye elimu bora leo wanaongoza kwa ubunifu..
Ulivyoandika Kwa kujiamini utafikiri ni kweli Elimu Bora ndio inafanya watu kuwa wagunduzi mbona tuna watanzania kibao wamesoma huko kwenye Elimu Bora China,ulaya na Marekani mbona hawajagundua kitu chochote Wapo wapo tu
 
Looh ngoja nijikague vizuri ninabaki na nini baada ya hili darasa la 7 uchakataji mbususu nao unahitaji akili?
 
Ulivyoandika Kwa kujiamini utafikiri ni kweli Elimu Bora ndio inafanya watu kuwa wagunduza tuna watanzania kibao wamesoma huko kwenye Elimu Bora China,ulaya na Marekani mbona hawajagundua kitu chochote Wapo wapo tu
Kwa hio ELIMU DUNI ndio inazalisha wagunduzi?
Naomba mfano wa nchi yenye elimu DUNI inayozalisha wagunduz na unitajie hao wagunduzi. Nimekuwekea mifano dhahiri nawe ni vyema u geweka mifano dhahiri inayopinga hoja yangu.
 
Staa wa Bongofleva, Ommy Dimpoz amesema kuna watu walishamfuta na kumuuliza Bosi wake, GSM kwanini kamuajiri wakati hajasoma.

"Siku moja aliniambia unajua watu wanakupiga sana majungu kuna mmoja kaniambia vipi unampa kitengo Ommy hajasoma wakati watu tuna na PhD?.

"Lakini Allaah amemjaalia hekima akamjibu mimi siangalii makaratasi kama mtu nikimpa majukumu na akayafanya vyema sina neno" ameandika Dimpoz X.
FB_IMG_1701961391038.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio ELIMU DUNI ndio inazalisha wagunduzi?
Naomba mfano wa nchi yenye elimu DUNI inayozalisha wagunduz na unitajie hao wagunduzi. Nimekuwekea mifano dhahiri nawe ni vyema u geweka mifano dhahiri inayopinga hoja yangu.
Ugunduzi sio swala la Elimu kubwa au ndogo ni kichwa Cha mtu mwenyewe hakuna shule Wala chuo duniani kinachofundisha ugunduzi hakipo
 
Mshena.
Mark Zucker berg
Bill gate
Steve Job
Arthur Altman
Nk
Hawa watu wamesoma ila hawakuhitimu.
Drop out ni msomi.
Jedwali la sensa ka mwaka 2012.
Liliuliza ngazi ya elimu.
Form one
Form two
Firm three
Form hour
Nk
Ilitakiwa utiki alipoishia mtu.
Hii ina maana kwamba hata kama uliacha drs la4 una elimu.
Akina bill gate ni college drop out. Ikumbukwe wana elimu ya kujisomea nyumbani na kwa wataalamu au vitendo "apprentship skills"
SWALI LETU AU HOJA IWEKWE VIZURI BADO INA CHANGANYA.
Awa awakumaliza Shule lakini ngunduzi zao wanasoma watu wanazisoma, Hina maana kwamba Elimu Haina maana zaidi ya akili. Swali waliomaliza Shule wamengundua nini ?
 
Ugunduzi sio swala la Elimu kubwa au ndogo ni kichwa Cha mtu mwenyewe hakuna shule Wala chuo duniani kinachofundisha ugunduzi hakipo
Misingi ya ugunduzi ktk karne ya 21 inazingatia elimu.

Waliogundua chanjo ya Corona wasingesoma MICROBILOGY, BIOTECHNOLOGY NK. nadhani mpaka leo tungekuwa tunasumbuka nayo.

Ugundue micro chip in 3nm bila kwenda kusoma advanced physics utakuwa muongo. Ugunduzi wa karne ya 21 ni muendelezo wa yale ya karne ya 20.

Kina Galileo walisoma elimu mtaa.

Newton alisoma underground.

Hakuna mgunduzi asiesoma kazi za wengine.

Unielewe pale juu. Nimesema hata vyanzo vingine ni elimu sio darasani tu.

Mimi mwenyewe nimekuwa nikijifunza computer programming, nikija unda program haimanishi sijasoma bali sijasomea shuleni.

Tutofautishe kutokusoma kabisa na kusoma kibinafsi.

Ni ngumu sana kujua kama umegundua kitu kama hujasoma, inawezekana hicho kitu kumbe kilishakugunduliwa kitambo.

Wabongo wengi wasio na elimu wakiunda gari wanasema wamegundua gari.

Ukisoma utajua tofauti ya
Discovery
Invention
Innovation.

Wasio soma na elimu hayo yote wanayaweka pamoja.

Wagunduzi wengi wa sasa wapo kwenye kundi la wasomi. Mkiambiwa mtaje wagunduzi wasiosoma mnakimblia kwa akina Gileleo, hamna majina yoyote ya karne hii na hata uthibitisho kuwa kweli hao watu hawakusoma.
Kama kwenu kusoma ni kukaa tu madarasani basi mpo sawa.
 
Awa awakumaliza Shule lakini ngunduzi
Kwa hoo kama hukumaliza shule hujasoma.
Tofautisha .
Kusoma
Na
Kuhitimu.
Hao walisoma ola gawakuhitimu. Wasomi wana beno lao' GRADUATE'.
Hao wengi wamefija kidato cha sita.
Kumbuka neno APPRENTICESHIP , wamefanya hio kitu. Bado walisoma vitabu vingi zaidi ya graduate.
Billgate jasoma rubdo la vitabu.
Ellon Musk kasoma rindo ka vitabu.
Msomi maana yake mtu aliesoma. Hao ni self learner.
Yaani uunde maroketi hiku hujasoma.
Icons wa Sayansi kama Isaac Newton, Galileo Galilei na Archimedes of Syracuse hawakuwa na elimu yoyote ya cheti, diploma wala degree, lakini walikua na AKILI. Ugunduzi wao mpaka leo unaiongoza dunia.
Hawa watu wamepata akili kwa njia za kujisomea na vyanzo mbali mbali Hawakuwa kama MASAI wa UBARUKU.
Huyo bwana Archimedes inasadikika aliwahi enda MISRI ya kale.Wote tunajua nini kilikuwa kinafanyika MUSRI .
Ni kama leo uende Ulaya Au China au India au USA.
 
Mshana title yako ingefaa iwe hivi
"Elimu ya darasani si lolote dhidi ya Elimu ya nje ya darasa."
Baada ya kupitia maoni mengi naona title inafaa iwe hivyo.
 
Back
Top Bottom