Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,847
Ila asilimia kubwa ya wanaume waliotoa comment za kumkejeli na kumtukana huyu bibie kwenye huu uzi wamenisikitisha sana.Learn to move on...
Wanaume wa jf wako perfect sana
Huu uzi ungekuwa wa mwanaume!!
Hata kama mkeo ni mbwa kiasi gani, hakuna justification ya kushindwa kuwahudumia watoto wako na uwezo unao.
Huyo ni mwanaume asiejielewa.
Kosa la huyu dada ni kuvumilia huo ujinga for 12 years, na kubeba majukumu ya huyo mpumbavu. Na ninahisi amemsitiri tuu hapa, kuna uwezekano huyo mwanaume alikua ana matatizo pia kwenye upande wa tendo la ndoa, maana hizo characteristics alizozitaja ni typical kwa wanaume wenye hayo matatizo.
Pole sana mdada naina19, move on with your life, do your best to make sure your kids grow well.