bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Unadiriki kumuita mtu shetani bila kuusikiliza upande wake! Isije kuwa huyu kiherehere ndo mwenye mapungufu makubwa sana!
Mkuu naona umeyachukulia haya maneno kama nilivyoandika.
Nilichomaanisha ni kwamba, kwa huyu mama kusema mabaya/mapungufu ya mwenzake pasipo kusema ya kwake maana yake ni kwamba, yeye ni mwema zaidi (malaika) na mwenzake ndo mbaya (shetani). Kwa minajili hiyo, malaika hawezi kuishi na shetani.