Ukinizalia nakufungulia pharmacy

Ukinizalia nakufungulia pharmacy

Ila sisi wanaume tunadhambi sana mdada wa watu anajitahidi kwenye kitanda akuonyeshe mautundu kwa ahadi ya kufunguliwa pharmacy baada ya kuzaa pharmacy ndio hio hapo chini sasa🤣🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 3480760
Ukikubali kuingia kwenye unenforceable contracts sharti uzikubali attendant risks zote. After all, mtoto anayezaliwa ni wa wote (baba na mama) bila kujali alipatikana kwa makubaliano gani.
 
Back
Top Bottom