Wewe ungepanua mapaja Kwa famasi hiyo?Mbona hiyo ipo vizuri tu, naona ina dawa za kutosha
Mimi nachanua hata bure maana sifanyi barter trade.Wewe ungepanua mapaja Kwa famasi hiyo?
Unabishaaa ulikuwepooo??Sio kweli 😁😁😁
😂 dah we ungekubali?Mbona hiyo ipo vizuri tu, naona ina dawa za kutosha
Eeeehh hiyo si ndio famasi yangu nimefunguliwa. Ipo huku uswazi natamba nayo kinoma. Karibu uje uniungishe bhana😂 dah we ungekubali?
😂😂😂Wee,sema kweli?Mbona hiyo ipo vizuri tu, naona ina dawa za kutosha
Si ndio🤣🤣🤣🤣😂😂😂Wee,sema kweli?
Ila kweli kuliko kukosa kabisa au mwanaume kuomba kupewa yeye pesa🙌