Ukimya wa Mke wa Magufuli unatia shaka

Ukimya wa Mke wa Magufuli unatia shaka

Jamani Mke wa Magufuli mbona haonekani kwenye Campaign kama ilivyokua kwa Mama Salma, Mama Anna Mkapa na Mama Regina Lowassa. Kuna nini hapa katikati.

Yuko shule ya msingi Mbuyuni analitumikia Taifa...Anawafundisha watoto...

Kipi bora...Kukaa shuleni na kuwafundisha watoto wetu ama kuzunguka mikoani kutafuta kura?...
 
Yuko shule ya msingi Mbuyuni analitumikia Taifa...Anawafundisha watoto...

Kipi bora...Kukaa shuleni na kuwafundisha watoto wetu ama kuzunguka mikoani kutafuta kura?...

Hoja dhaifu kabisa hii.
FYI shule zimefunga saizi.
 
Dunia haina siri tutajuwa tu lililo nyuma ya panzia kwenye hili la mama makomeo kutoambatana na mwenza wake.
Na kama kweli kuna mgogoro na kwa kipindi chote bwana makomeo ameshindwa kusuluhisha na mkewe na kuwa kitu kimoja ndani ya familia yake tu
Basi hafai kuwa raisi hata wa Tff
 
Jamani Mke wa Magufuli mbona haonekani kwenye Campaign kama ilivyokua kwa Mama Salma, Mama Anna Mkapa na Mama Regina Lowassa. Kuna nini hapa katikati.
pengine hajapewa jukumu lolote na ccm na yeye sio mtu kimbelembele, pengine anajijua sio mtu hodari kwa majukwaa anawaachia wengine. pengine suala la urais mumewe sio suala la kufa kupona kwa familia yake mungu akipenda itakua. huwezi kumlinganisha na mke wa mtu ambaye amekua na ndoto ya ya kua rais kwa zaidi ya miaka 20. ndoto ilipoanza wengi wanaomshabikia walikua hawajazaliwa au walikua wananyonya.
 
Nimeona mawasiliano ya kamati ya kampen wa ccm akina Jm,kairuki,na wengne kwenye group lao walikua wanajadili ilo.. Wakasema wiki hii watamshawishi Mkapa akaongee nae ili na yeye apge kampeni
 
Back
Top Bottom