Ukimya wa Mabilionea hawa kulikoni!

Ukimya wa Mabilionea hawa kulikoni!

Baada ya huyu bilionea MO kutekwa ni dhahiri kuwa kila mmoja wetu ameguswa kwa namna yake na hili tukio.
Kama ambavyo imetokea kwa MO, hili jambo pia linaweza kumtokea yeyote!
Wadau mbalimbali wametoa maoni yao ya moyoni juu ya kutekwa kwa MO lakini zaidi ni kutoka kwa watu wa kawaida, wanasiasa mbalimbali na viongozi wa serikali!
Lakini kuna kundi la watu wachache ambao ni washindani wa MO, hawajasikika wakisema chochote juu ya hili tukio!
Mabilionea wenzake MO kama Mengi, Bakhresa,Mafuruki, Rostam n.k hawajasikika wakisema chochote au kukemea hili hadi hivi sasa, kulikoni...!
Hawa watu ni washindani kibiashara na kwamba inapokea mmoja anapata tatizo kama hili basi ni vyema wakaweka tofauti zao pembeni za kishindani na kuungana!
Imemtokea MO, je anayefuata anajijua ni nani?
Ni vyema wakati huu wakatoa walao kauli ya pamoja na kuonyesha wameguswa na hili jambo kwa kuwa ni tayari matajiri wengine wameshakutwa na mikasa kama Zakaria n.k!

Wanawaogopa Wazungu Wawili wa Tandale na Kwa Mnyamani Mkuu.
 
Washindani wake sasa ndio Fursa imepatikana..

Siku hizi UTU umeshuka BEI, thamani ya PESA imepanda
 
Baada ya huyu bilionea MO kutekwa ni dhahiri kuwa kila mmoja wetu ameguswa kwa namna yake na hili tukio.
Kama ambavyo imetokea kwa MO, hili jambo pia linaweza kumtokea yeyote!
Wadau mbalimbali wametoa maoni yao ya moyoni juu ya kutekwa kwa MO lakini zaidi ni kutoka kwa watu wa kawaida, wanasiasa mbalimbali na viongozi wa serikali!
Lakini kuna kundi la watu wachache ambao ni washindani wa MO, hawajasikika wakisema chochote juu ya hili tukio!
Mabilionea wenzake MO kama Mengi, Bakhresa,Mafuruki, Rostam n.k hawajasikika wakisema chochote au kukemea hili hadi hivi sasa, kulikoni...!
Hawa watu ni washindani kibiashara na kwamba inapokea mmoja anapata tatizo kama hili basi ni vyema wakaweka tofauti zao pembeni za kishindani na kuungana!
Imemtokea MO, je anayefuata anajijua ni nani?
Ni vyema wakati huu wakatoa walao kauli ya pamoja na kuonyesha wameguswa na hili jambo kwa kuwa ni tayari matajiri wengine wameshakutwa na mikasa kama Zakaria n.k!

Wewe unaonekana unatumiwa na watu ambapo hawaitakii nchi yetu mema, kwani hoja zako unazozileta humu Jf ni za kichochezi na za kutaka kuwachonganisha wananchi na serikali. Acha hayo, ipo siku utakuja kujutia kwa kuiombea mambo mabaya nchi yetu. Ushindwe kwa jina la mungu wako
 
Baada ya huyu bilionea MO kutekwa ni dhahiri kuwa kila mmoja wetu ameguswa kwa namna yake na hili tukio.
Kama ambavyo imetokea kwa MO, hili jambo pia linaweza kumtokea yeyote!
Wadau mbalimbali wametoa maoni yao ya moyoni juu ya kutekwa kwa MO lakini zaidi ni kutoka kwa watu wa kawaida, wanasiasa mbalimbali na viongozi wa serikali!
Lakini kuna kundi la watu wachache ambao ni washindani wa MO, hawajasikika wakisema chochote juu ya hili tukio!
Mabilionea wenzake MO kama Mengi, Bakhresa,Mafuruki, Rostam n.k hawajasikika wakisema chochote au kukemea hili hadi hivi sasa, kulikoni...!
Hawa watu ni washindani kibiashara na kwamba inapokea mmoja anapata tatizo kama hili basi ni vyema wakaweka tofauti zao pembeni za kishindani na kuungana!
Imemtokea MO, je anayefuata anajijua ni nani?
Ni vyema wakati huu wakatoa walao kauli ya pamoja na kuonyesha wameguswa na hili jambo kwa kuwa ni tayari matajiri wengine wameshakutwa na mikasa kama Zakaria n.k!
Kila mtu atabeba msalaba wake,na kila mtu anapambana na hali yake,wewe ulitaka waseme nini na je wakishasema ndio iweje,wewe umesema je kuna matokeo yoyote?
 
hawa sio wanasiasa, mambo yao huenda taratibu.
Bila kumjua mhusika au mshukiwa usiwe mwepesi kuongea, subiri wengine waseme wewe ongea mwishoni baada ya kujua upepo unavuma kuelekea wapi, vinginevyo utagusa pasipohusika uanze kusakamwa
 
Upo 'ugonjwa' mbaya sana siku hizi 'duniani'. Kuwa ili mtu aonekane anaguswa na jambo fulani basi ni lazima apost mitandaoni, au aongee na wanahabari.. Mtu asipopost kuhusu msiba hata kama mtu huyo kashiriki uchimbaji kaburi basi ataonekana si mshiriki.... Kila mtu anaishi katika 'dunia' yake. Tuache 'maigizo' zipo njia nyingi za kushiriki masuala.
 
Back
Top Bottom