Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,798
Baada ya huyu bilionea MO kutekwa ni dhahiri kuwa kila mmoja wetu ameguswa kwa namna yake na hili tukio.
Kama ambavyo imetokea kwa MO, hili jambo pia linaweza kumtokea yeyote!
Wadau mbalimbali wametoa maoni yao ya moyoni juu ya kutekwa kwa MO lakini zaidi ni kutoka kwa watu wa kawaida, wanasiasa mbalimbali na viongozi wa serikali!
Lakini kuna kundi la watu wachache ambao ni washindani wa MO, hawajasikika wakisema chochote juu ya hili tukio!
Mabilionea wenzake MO kama Mengi, Bakhresa,Mafuruki, Rostam n.k hawajasikika wakisema chochote au kukemea hili hadi hivi sasa, kulikoni...!
Hawa watu ni washindani kibiashara na kwamba inapokea mmoja anapata tatizo kama hili basi ni vyema wakaweka tofauti zao pembeni za kishindani na kuungana!
Imemtokea MO, je anayefuata anajijua ni nani?
Ni vyema wakati huu wakatoa walao kauli ya pamoja na kuonyesha wameguswa na hili jambo kwa kuwa ni tayari matajiri wengine wameshakutwa na mikasa kama Zakaria n.k!
Kama ambavyo imetokea kwa MO, hili jambo pia linaweza kumtokea yeyote!
Wadau mbalimbali wametoa maoni yao ya moyoni juu ya kutekwa kwa MO lakini zaidi ni kutoka kwa watu wa kawaida, wanasiasa mbalimbali na viongozi wa serikali!
Lakini kuna kundi la watu wachache ambao ni washindani wa MO, hawajasikika wakisema chochote juu ya hili tukio!
Mabilionea wenzake MO kama Mengi, Bakhresa,Mafuruki, Rostam n.k hawajasikika wakisema chochote au kukemea hili hadi hivi sasa, kulikoni...!
Hawa watu ni washindani kibiashara na kwamba inapokea mmoja anapata tatizo kama hili basi ni vyema wakaweka tofauti zao pembeni za kishindani na kuungana!
Imemtokea MO, je anayefuata anajijua ni nani?
Ni vyema wakati huu wakatoa walao kauli ya pamoja na kuonyesha wameguswa na hili jambo kwa kuwa ni tayari matajiri wengine wameshakutwa na mikasa kama Zakaria n.k!