ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,970
- 2,184
Nini kimekupata kamanda Salum Mwalimu! Maana umekaa kimya sana pasipo kutoa taarifa yoyote kama hapo awali tulivyokuwa tumekuzoea
Kama sikosei sijapata kukusikia wala kusoma bandiko lako linaisema serikal au kuonesha namna unavyofanya shughuli zako za ukatibu zanzibar kichama ikiwa ni tangu ulipopata dhamana na kutolewa mahabusu tokea huko simiyu. Nini kimekukuta kamanda wetu!?
Au kwa sasa shughuli za kichama zimesimama, ukimya wako umesababishwa na nini?
Ulisikika kidogo kipindi cha uchaguzi wa bunge la Afrika mashariki lakini baada ya hapo ndio kimya kabisa, tena ilikua sio katika majukumu yako ya kawaida
Ni nini kimemkuta Salumu Mwalimu
Kama sikosei sijapata kukusikia wala kusoma bandiko lako linaisema serikal au kuonesha namna unavyofanya shughuli zako za ukatibu zanzibar kichama ikiwa ni tangu ulipopata dhamana na kutolewa mahabusu tokea huko simiyu. Nini kimekukuta kamanda wetu!?
Au kwa sasa shughuli za kichama zimesimama, ukimya wako umesababishwa na nini?
Ulisikika kidogo kipindi cha uchaguzi wa bunge la Afrika mashariki lakini baada ya hapo ndio kimya kabisa, tena ilikua sio katika majukumu yako ya kawaida
Ni nini kimemkuta Salumu Mwalimu