Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu naye ahusishwa kujiunga na CCM

Daimler

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
556
973
IMG_9549.JPG


Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu ameunganishwa kwenye orodha ya Viongozi wa CHADEMA wanaohusishwa katika mpango wa kuhamia CCM.
Tangu Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole atoe angalizo kwa wana-CHADEMA wanaotaka kuhamia CCM kufanya hivyo kabla ya mwishoni mwa Disemba 2018, ni Wabunge watatu pekee katika orodha ya Wabunge 15 walikuwa wakitajwa kutaka kuhamia CCM.
Katika hao wanaotajwa, wote ni Wabunge tu lakini ni John Mnyika pekee mwenye wadhifa mkubwa wa utendaji ndani ya CHADEMA, pamoja na Saed Kubenea, hivyo kuhusishwa kwa Salum Mwalimu kunaongeza zaidi shinikizo kwa Chama hicho.

IMG_9548.jpg
 
Ukitaka kujua sasa hv wananchi wanajitambua, ccm wamchukue hata Mbowe waone kama watu wataiacha cdm na kwenda kuifagilia ccm. Iwapo Dr. Slaa kaenda ccm na bado ccm ili ishinde uchaguzi inabidi madaraka ya rais yatumike vibaya ndio watangazwe washindi hapo unategemea huyo Salim Mwl ndio atavuta watu? Simply album ya kuhama haina mvuto tena.
 
Ukitaka kujua sasa hv wananchi wanajitambua, ccm wamchukue hata Mbowe waone kama watu wataiacha cdm na kwenda kuifagilia ccm. Iwapo Dr. Slaa kaenda ccm na bado ccm ili ishinde uchaguzi inabidi madaraka ya rais yatumike vibaya ndio watangazwe washindi hapo unategemea huyo Salim Mwl ndio atavuta watu. Simply album ya kuhama haina mvuto tena.
Hadithi ya sungura,"sizitaki mbichi hizi",kufa na tai shingoni,salaleee!
 
Ukitaka kujua sasa hv wananchi wanajitambua, ccm wamchukue hata Mbowe waone kama watu wataiacha cdm na kwenda kuifagilia ccm. Iwapo Dr. Slaa kaenda ccm na bado ccm ili ishinde uchaguzi inabidi madaraka ya rais yatumike vibaya ndio watangazwe washindi hapo unategemea huyo Salim Mwl ndio atavuta watu. Simply album ya kuhama haina mvuto tena.
Hadithi ya sungura,"sizitaki mbichi hizi",kufa na tai shingoni,salaleee!
 
Waende wakajazane serikalini na wafanye 'kazi maalum' ili iwe rahisi kuking'oa chama miaka michache ijayo
 
Kwa Esther matiko hana option nyingine kama anahitaji kuendelea kuwa mbunge wa tarime lazima ahamie tu ccm, au achague kurudi kulima nyabhirongo huko kwao,so mnaombwa mmuache tu Dada wa watu nani asiyependa kushiba?
 
Afisa habari mpya wa chadema unajirahidi kweli kweli hongera
View attachment 899785

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu ameunganishwa kwenye orodha ya Viongozi wa CHADEMA wanaohusishwa katika mpango wa kuhamia CCM.
Tangu Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole atoe angalizo kwa wana-CHADEMA wanaotaka kuhamia CCM kufanya hivyo kabla ya mwishoni mwa Disemba 2018, ni Wabunge watatu pekee katika orodha ya Wabunge 15 walikuwa wakitajwa kutaka kuhamia CCM.
Katika hao wanaotajwa, wote ni Wabunge tu lakini ni John Mnyika pekee mwenye wadhifa mkubwa wa utendaji ndani ya CHADEMA, pamoja na Saed Kubenea, hivyo kuhusishwa kwa Salum Mwalimu kunaongeza zaidi shinikizo kwa Chama hicho.

View attachment 899784
 
If we would have fair democratic environment I would say this Hama hama Album was the Best Album ever sold, Otherwise.................
 
Back
Top Bottom