Walioingia kwenye hizo kamati walikuwa wameingia si kwa maslahi ya wananchi bali ya kwao binafsi ndio maana kamati zote nyeti hata zile za wapinzani wanaoziongoza lazima wawe na msimamo usiopingana na maslahi yao angalia Cheyo,Mrema na Zitto wote kwa nyakati tofauti misimamo ya kisiasa imekuwa inatia mashaka,Serukamba,chenge,Lowasa wanajulikana ni watu wa kundi moja wameshika kamati nyeti ili kupanga timu zao na mipango yao hata ya Nishati walimweka January makusudi