Ukimya wa ajira za waziba nafasi; Tulipigwa changa la macho orodha ya watu wenye vyeti?

Hivi kwanini hamna subira na pia kwanini mpo mnatumia mitandao na mnakuja kaandika yasiyo?

Uliamvbiwa wangetangaza jana au leo? Na utakuta uwezo wa kupata hizo ajira hauna, tulia anza masomo ya kujitayarisha sio kutudanganya huku maelezo yalitolewa vizuri juu ya hili.
 
Hivi kwanini hamna subira na pia kwanini mpo mnatumia mitandao na mnakuja kaandika yasiyo?

Uliamvbiwa wangetangaza jana au leo? Na utakuta uwezo wa kupata hizo ajira hauna, tulia anza masomo ya kujitayarisha sio kutudanganya huku maelezo yalitolewa vizuri juu ya hili.
Sikulaumu maana siyo tatizo lako bali ni shida ya genetics, imagine a project aimed at changing baboon to human thinking way of life
 
kutokana ukimya Wa kutolewa kwa Ajira ili watu wakazibe nafasi za wale wanaosemekana kuachishwa kazi kwa kughushi vyeti, ilikuwa danganya Toto?

je, kwa ukimya huu, kuna uwezekano ile orodha ilikuwa hewa asilimia 80%?
Kwani leo ndo umepata akili kuwa hili ni changa la macho? Watu siku nyingi wamepofuka macho yamejaa mchanga. Afadhali yako bado unaona hadi umegundua hilo ni changa la macho.
 
Hivi kwanini hamna subira na pia kwanini mpo mnatumia mitandao na mnakuja kaandika yasiyo?

Uliamvbiwa wangetangaza jana au leo? Na utakuta uwezo wa kupata hizo ajira hauna, tulia anza masomo ya kujitayarisha sio kutudanganya huku maelezo yalitolewa vizuri juu ya hili.
Daah,,mi nae kwa kusahau,,!! Hv ni maelekezo gani vile yalitolewa
 
Hivi kabisa kijana mwny akili timam uliyepiga umandee ipasavyo had leo unasubir promo za pombe ktk ajira!!!
 
Yaani mkiambiwa mna akili ndogo mnatokwa na mapovu.
Kwa akili ya kawaida tu ni kwamba ajira awamu hii ya JPM hakuna . Tatizo mnapenda kusikiliza hotuba tamu tu, sikilizeni hotuba zote halafu mchambue mtapata majibu.
Alisema ajira katika awamu yake zitatoka kwa wingi pale viwanda vitakapoanza kufanya kazi.
 
Sikulaumu maana siyo tatizo lako bali ni shida ya genetics, imagine a project aimed at changing baboon to human thinking way of life

Naona umeamua kuniquote kwa lolote lile tangu nikuambie kile kimombo chako ulichemka....ha ha haaaaaaaaa eeeeeeeeh

Andika lolote utakalo utajiju....nilikugusaaaaa eeeh ila ulichemshaaaaaaaaa, ubishi wote ule bora ungekaa kimya.
 
Tatizo nikwamba hamjui mwaka wa fedha wa serikali. Hata kazi zikitangazwa leo ila kuanza kazi ni hadi mwezi wa saba. Pia zoezi la wenye vyeti feki bado halijaisha kwani ulishaona list ya wenye vyeti feki la serikali kuu? Sasa unataka watangaze je wakati bado wanaweka mambo sawa.
 
Binadamu kwa nini hamna subira yaani zoezi limekamilika juzi tu hata rufaa za waliokata bado hazijaamuliwa halafu huwezi kukurupuka tu ukatangaza nafasi kuna taratibu zake za kusheria lazima zifuatwe eg nafasi hzi za feki zitazibwa kama ajira mbadala hvyo kibali lazma kitoke utumishi, halafu vilevile wanaungajisha na mapungufu mengine nyie ndio mnakuwaga watu wa kwanza kuja kulalamika endapo serikali itakosea sehemu.
 
kutokana ukimya Wa kutolewa kwa Ajira ili watu wakazibe nafasi za wale wanaosemekana kuachishwa kazi kwa kughushi vyeti, ilikuwa danganya Toto?

je, kwa ukimya huu, kuna uwezekano ile orodha ilikuwa hewa asilimia 80%?
Kuna appeal labda mpaka sishughurikiwe
 
Mtarban: 21188432 said:
kutokana ukimya Wa kutolewa kwa Ajira ili watu wakazibe nafasi za wale wanaosemekana kuachishwa kazi kwa kughushi vyeti, ilikuwa danganya Toto?

je, kwa ukimya huu, kuna uwezekano ile orodha ilikuwa hewa asilimia 80%?
:D:D:D:D waliobaki wamegawana majukum...kaz zinaenda
 
Back
Top Bottom