Jamani mimi nimehitimu chuo kikuu cha Dar Es Salaam clss2011,BA(Hon) In Geography&Environmental Studies.Nimejitahidi kwa JUHUDI ZANGU ZOTE kutafuta kazi japo ya aina yoyote ila sijafanikiwa hadi leo.Ila nimekuwa nikiona wenzangu wakiomba msaada humu jf na nina imani wanafanikiwa hivyo naombeni msaada wanajf kwani maisha sasa yameanza kuwa magumu kabisa.So please nisaidieni kupata kazi yoyote kulingana na ngazi hiyo ya elimu.PLZ wanajf