Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Mimi nilikuwa najua chuma/jiwe hakiwezi pitia changamoto kama hizi, nafikiri kama ikiwa kweli na akifanikiwa kutoka sakama itabidi afanye analysis vyote anavyofanya ni vipi vinatengeneza chuki. Maana inaonesha watu wanasubiri mwisho mbaya
Hata JK alisubiriwa mwisho mbaya. Sisi ni watanzania, usisumbue akili yako.
 
Mimi nilikuwa najua chuma/jiwe hakiwezi pitia changamoto kama hizi, nafikiri kama ikiwa kweli na akifanikiwa kutoka sakama itabidi afanye analysis vyote anavyofanya ni vipi vinatengeneza chuki. Maana inaonesha watu wanasubiri mwisho mbaya
Mwanadamu yeyeto ujitengenezea mwisho wake.
 
Back
Top Bottom