Watu tumefadhaika, tumepagawa. hasikiki Ukimwi mtaani!
Wasio nao wameusahau na sasa tafadhali zote wamezielekeza kwa bwana Corona!
Nina mashaka wenye nao na wenye roho mbaya wasije wakajifanya wamesahau na wao ikala kwa mtu.
Tuwe macho, tusiusahau UKIMWI
Wasio nao wameusahau na sasa tafadhali zote wamezielekeza kwa bwana Corona!
Nina mashaka wenye nao na wenye roho mbaya wasije wakajifanya wamesahau na wao ikala kwa mtu.
Tuwe macho, tusiusahau UKIMWI